Mlenge tuliletewa taarifa na familia juu ya kifo chake.
Naye alikuwa verified member. Ni bahati mbaya tulijua ikiwa late.
Sababu/Chanzo cha kifo hatuwezi kuweka (kumradhi).
Wakuu,
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kufariki dunia kwa ndugu yetu na mwanachama wa JamiiForums, Sanctus Mtsimbe, mchana wa tarehe 13 Machi 2024.
Sanctus alikuwa Rais wa kwanza wa Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (TPN), hadi anafariki alikuwa ni Country Manager wa Wananchi Group...
App ya zamani isn't downloadable anymore. Tumezuia kuendelea kuipakua na kulalamika; unashauriwa kutumia mpya from this link JamiiForums - Apps on Google Play
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.