Tatizo lao ujuaji mwingi, mtu utakuta anapump utadhani anakimbizwa, sababu yuko young na energy iko juu, anatumia miguvu kuliko maarifa,yaani dakika tatu mtu anataka style kumi khaaaa, na bado watu wazima watawabit sana tu, watu wazima wanachukua muda wao taratibu, hawana haraka, na asikwambie...
Hii mi kwamba wameshindwa tu kukubaliana kwenye hoja ya healthy care kwa raia wao, kwenye bunge, na kule wakishindwa kukubaliana shughuli za kiserikali zinasimama mpaka wakipiga kura tena au wakikaa kwa maongezi na chama kingine wakakubaliana bac, inaendelea, kwa hiyo ofisi zote za kiserikali...
Mahusiano huanza kwa kujuana tabia na ndio ina develop trust then mengine ndio yanafata, pia unaweza jua kama huyu wa kupita au kukaa baada ya kipindi fulani, kama alivyosema makinya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.