Ben naheshimu sana michango yako kwenye jukwaa hili. Lakini katika thread hii Mashindano kuamini kwamba wewe ndiye unayeweza kutoa maoni haya ambayo kwa kiasi kikubwa yako skewed in favour of your favourite candidate ambaye uongozi wa juu wa UKAWA unaoushabikia una unwinda awe mgombea...
You have nothing between your ears. Hatuwezi kujadili stories ambazo ni speculative. Hizo chenji za waliokutuma zitumikie kwa namna nyingine siyo kutuletea stori makengeza.
acheni kumjadili hayawani. Yule dogo anatafuta uhalali wa kuendelea kuishi nchini baada ya uraia wake kuleta mawaa. Nchi hii ukiwa na mawaa jiunge na mafisadi utapona.
Hakika Lowassa ni mwanaume wa kuchukua maamuzi magumu na mifano iko wazi. Michache kati ya hiyo ni hii:
1. Aliingiza nchi gizani kwa tamaa ya utajiri binafsi na familia yake. Mkataba ule wa Richmond mpaka leo umeiweka nchi kitanzini.
2. Bila aibu wala kupepesa jicho alidai rushwa ya dola...
Duh! Jamaa kashuka maana na mie nimemsoma na hakika hoja za Mgeta hazipaswi kupuuzwa. Hivi uongozi unaonunuliwa kwa mabilioni haya ambayo asili yake haifahamiki una malengo gani na kama alivyosema Mwalimu Nyerere zitarudije? Nchi imeingia kwenye janga na Watanzania wanapaswa kuamka kulikataa...
Napata fikra kwamba huyu bwana mdogo jimbo linamshinda na inawezekqna majukumu haya ni makubwa sana kwake na sasa yanamuelemea. Na hili ndilo linalowatokea wabunge wengi sana waliongia madarakani kwa euphoria na hasira za wananchi kwa chama tawala.
Mnamuonea baba wa watu kutaka awe na utaalam kama mchumi wakati mwenzenu kajisomea usanii. Sasa hapo takwimu zinaingiaje? Ingekuwa maigizo mngemlaumu. Mwacheni apumzike mzee wa watu!
Hakika heshima ya seriakali hii imewekwa rehani kama wataalam watashindwa kushauri hatua stahiki kwa wahusika hata kama ushahidi wa tuhuma za rushwa haupo. Kufukia jambo hili chini ya busati kutalifanya liibuliwe miaka michache ijayo.
Halafu unawaona mtaani wamevaa na suruali kumbe ni mijitu haina hadhi hata ya kutembea mtaani. Ndiyo maana ameacha ile kazi yake ya kutunga nyimbo za taarabu na kuwauzia wanamuziki wa vikundi vya rusha roho! Lakini haya yote anayafanikisha Mwenyekiti wa Bodi, Mama Anna Abdallah ambaye ndiye pia...
Sisi hatujadili watu na wala hakuna majungu hapa. Tunajadili matendo maovu na uovu wa hawa wanaojiita viongozi. hata huko Marekani watu wanapewa fursa ya kupima matendo ya wanaowania uongozi wa nchi ili kujua kama wanastahili kuendelea kukabidhiwa dhamana ya nchi. Hawa wenyewe ni hoja tosha ya...
Hili gazeti na lile la Mwanahalisi sasa yanachungulia kaburi. Walilewa sifa na tamaa za wahariri wao sasa zinayatafuna magazeti haya. Mbowe ajue kwamba gazeti likifa hao wanaoliua watahamia gazeti lingine na kumuacha yeye akishangaa.
Kwa mimi ninayemfahamu Lowassa hili halitanishangaza hata kidogo. Alipochaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kamati hii aliwapigia mabalozi wote akiwataka wawe wanamtumia matatizo yao kwake. Hii ilikuwa ni mbinu ya kuhamisha allegiance kutoka kwa waziri kuja kwake na ku-take control ya wizara kinyemela...
Unadhani kutoa mapovu ndo kutoa hoja? Tunachosema ni kwamba Mnyika alitoa ahadi chungu nzima za kukwamua matatizo ya jimbo la Ubungo na hajafanya hata kimoja. Sisi tunamkamata yule aliyedhukua dhamana. Kama alaijua kwamba ahadi zake hazitekelezeki alikuwa anamdanganya nani?
Naelewa mzee huyu, familia na wapambe wake wanavyojisikia baada ya watu kumkataa na kumuumbua kwa ghilba zake. Tukiendelea kumuandama, tutampoteza jamani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.