Huna maarifa ndiyo maana wenzako tulishawahi pigania Gesi kwa kuleta migomo na korosho pia tukaishia kupigwa tu wewe sijuwi ulitusaidia nini? Ngoja tujaribu kuwa wapenzi wema kwa watawala wa kama mfanyavyo wenzetu labla tutajaaliwa kidogo. HAAAA, HAAAA
Huna maarifa ndiyo maana wenzako tulishawahi pigania Gesi kwa kuleta migomo na korosho pia tukaishia kupigwa tu wewe sijuwi ulitusaidia nini? Ngoja tujaribu kuwa wapenzi wema kwa watawala wa kama mfanyavyo wenzetu labla tutajaaliwa kidogo. HAAAA, HAAAA
Huna maarifa ndiyo maana wenzako tulishawahi pigania Gesi kwa kuleta migomo na korosho pia tukaishia kupigwa tu wewe sijuwi ulitusaidia nini? Ngoja tujaribu kuwa wapenzi wema kwa watawala wa kama mfanyavyo wenzetu labla tutajaaliwa kidogo. HAAAA, HAAAA
Huna maarifa ndiyo maana wenzako tulishawahi pigania Gesi kwa kuleta migomo na korosho pia tukaishia kupigwa tu wewe sijuwi ulitusaidia nini? Ngoja tujaribu kuwa wapenzi wema kwa watawala wa kama mfanyavyo wenzetu labla tutajaaliwa kidogo. HAAAA, HAAAA
Huna maarifa ndiyo maana wenzako tulishawahi pigania Gesi kwa kuleta migomo na korosho pia tukaishia kupigwa tu wewe sijuwi ulitusaidia nini? Ngoja tujaribu kuwa wapenzi wema kwa watawala wa kama mfanyavyo wenzetu labla tutajaaliwa kidogo. HAAAA, HAAAA
Huna maarifa ndiyo maana wenzako tulishawahi pigania Gesi kwa kuleta migomo na korosho pia tukaishia kupigwa tu wewe sijuwi ulitusaidia nini? Ngoja tujaribu kuwa wapenzi wema kwa watawala wa kama mfanyavyo wenzetu labla tutajaaliwa kidogo. HAAAA, HAAAA
Huna maarifa ndiyo maana wenzako tulishawahi pigania Gesi kwa kuleta migomo na korosho pia tukaishia kupigwa tu wewe sijuwi ulitusaidia nini? Ngoja tujaribu kuwa wapenzi wema kwa watawala wa kama mfanyavyo wenzetu labla tutajaaliwa kidogo. HAAAA, HAAAA
Simple logic kama kazi ya maini mwilini ni kuchuja sumu kwenye vyakula, basi ukila maini yenye sumu nayo si yanakuwa chakula, hivyo basi maini yako yataichuja tu hiyo sumu.
Sasa wewe mpuuzi unashindwa nini kuelewa kuwa falsafa ya Uncle Magu ilikuwa ya kutumia alichokikuta tu na kujizolea Sina hebu Taja mkamkati wake wowote wa uzalishaji? Afadhali wenzake walijaribu kilimo kwanza, mkurabita, mikopo ya wajasiriamali, big results now nk yeye sisi matajiri huo utajiri...
Nyie watu mnapenda kujikweza sana hivi mlipokua mkishangilia Wana kusini kupolwa ile genius na mkatuita wabinafsi mlikuwa mkiwaza nini. Hallow muhame huko kwa manufaa ya taifa Zima hao wanyama ni wetu sote why mnawasumbua pisheni uwekezaji utalilipa taifa hili mara dufu taifa hili kuliko ninyi...
Hata ninyi kwa mwendo huu wa sasa wa kuadimika kwa ajira serikalini mtaanza kujiongeza. Mtagundua kuwa unachohitaji sana ni kumjua Mungu na maarifa kidogo ya kidunia. Ambayo hata wewe unaweza mpa mwanao akapata maendeleo na wala si lazima kushinda na Yale mavitabu ya kina Lambert, Antickson etc...
Sasa akili ya kusubili akili ya wengine ibuni jambo Kisha we unajipa uhodari wa kukosoa tu. Ndiyo maana hapo kwenye avata yako umekuwa dubwe kama hippopotamus
Jibu ni rahisi tu Brother nchi imekengeuka maono ya Muasisi, mimi tangu nikiwa mtoto niliambiwa Mwl. Nyerere ameonya kuwa makabila 4 yaani Wachaga, wasukuma, wanyakyusa na wahaya hawafai kuongoza kamwe wasipewe urais. Nakili sina hakika kama ilikuwa kweli maana sikuwahi msikia live au kuona...
Zito anakubalika sana huku kusini Lindi na Mtwara mtaji wa kuanzia anao haswaa na si wengine Bali ni sisi Wana korosho wa Kusini, tuna commonality flani Kati yetu wanakusini na Wanakigoma, kiufupi tuna historia ya kutengwa kwenye mikakati ya maendeleo kwenye hii nchi tangu ukoloni hadi uhuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.