Kaka heshima kwako! Ila kama hujaumwa hilo tatizo la huyo kijana, mm nilikuwa nalo na nikaambiwa nina matatizo ya akili. The thing about mold & mycotoxins yana damage kiasi kikubwa ubongo wako kiasi kwamba unakuwa emotion sana na ni kweli unaweza kuwa na attention seeking disorder au kujiona...
Ni ukweli mkuu hawana meno kwasababu kama wanaweza kutoa taarifa tu lakini wasiweze kubadilisha madhara ambayo tunaweza kuyapata kama taifa! Kazi yao ina maana gani? Ila wanaweza kuwapoteza watu au kuteka watu ambao hawana madhara yoyote kwa taifa simply tu watawala hawataki/hawapendi kusikia...
Ni kweli uhalifu hauwezi kwisha ila hakuna uhalifu mbaya kama unaofanywa na vyombo vya usalama kwa maslahi ya watawala na kusahau majukumu yao ya msingi.
Uongo Marekani wanaongelea masuala ya idara zao FBI, CIA na hata DOJ kila siku na naweza kukubaliana na ww kidogo kwamba UWT wanaingiliwa na wana siasa lakini sio kweli kwamba wanashindwa kufanya kazi isipokuwa wanafanya kazi kinyume na taratibu zao kwa interest za wana siasa na kuacha majukumu...
Ni kweli mkuu nchi anazozitolea mfano ni za kishenzi kabisa hazina tofauti na tunapopelekwa sasa, mbunge anaweza kupigwa risasi kwenye makazi yao na Tiss wasiwe na majibu, mwandishi wa habari aliekuwa anafanya utafiti wa mauaji ya kibiti kapotea sasa miezi 3! Hawana majibu,watu wanapotea hawana...
Ww ndio bonge la mpuuzi, unafikiri ulaya walikaa dormant tu bila kufanya mabadiliko ya sheria mbali mbali za nchi zao? Usalama wa taifa wanafanya kazi kisiasa na kuacha mambo ya msingi kwa taifa letu.
Tunataka wafanye kazi zao bila kusukumwa na watawala, watanzania wanapotezwa na kuuawa...
Kama alikuwa na kiwango hicho cha pesa kipindi hicho kabla ya safari, angekuwa sasa billionaire wa kufa mtu kwa miaka ya sasa, kwa mtu mwenye akili timamu kulikuwa hakuna umuhimu wa safari.
Marehemu John Komba alizikwa kwa heshima za kanisa katoliki na alikuwa na wake wawili na kimada wake ambaye sasa yupo jela, double standards zipo sana, kama unasali jisalie tu ila ukiyafuata ya kanisa wakati mwingine yanakatisha tamaa kama sio kutia uzuni.
Ukiwa na mpunga wa kutosha unaweza kunywa Don Julio real, chupa inakwenda kwa 375 dollars! Ila ukiona parefu sana, basi unaweza kununua hata shots kadhaa, shot moja inakwenda kwa 17 dollars, you ain’t goin to regret the taste if you’re looking for quality & flavor...only for classic guys.
Mbona hotel ya kiwango cha kawaida sana! Ni kama ulizoea kuendesha Toyota Corolla ikatokea siku ukaendesha Toyota vanguard, big up lakini umeongeza kiwango ... [emoji851]
Imani bila matendo imekufa, kama vile mwili bila roho...lakini maneno mengi bila vitendo ni u shithole.
Inauma lakini ndio ukweli, hata dawa ni chungu ila ukimeza utapona maradhi yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.