Nauza gari aina ya Toyota Nadia ya mwaka 2000. Gari ni zuri kabisa - karibu na jipya - halina tatizo lolote na rangi yake ni nyeupe inayoenda kwenye rangi ya maziwa. Ina eight CD changer na liko bomba kabisa. Bei inaanzia shilingi milioni 12. Yeyote anayehitaji awasiliane nami kwenye namba 0754...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.