Udhaifu wa huyu mama utatuletea balaa.
Hamjifunzi yanayotokea Tigray nchini Ethiopia.
Enzi za Chuma haya mawazo ya separatism usinge yasikia, hata hao watani zangu wa kaskazini walikiona Cha Moto kwa kuhisiwa tu.
Tujifunze kwa wachina, spirit ya separatism kwao ni moja ya mihimili mitatu ya...
Watu wanashangaa nini, mbona hili lilitegemewa. CHADEMA wamefanya kosa kwa maana ya timing.
Na itawagharimu, Wana option moja, compromise na Hawa akina mama.
Hili litakua kosa jingine Kama like la kumzingua Dr. Slaa.
Sijui kwanini Chadema wanaendelea kufanya makosa Kama haya.
Wenye akili...
Ndugu, watu wote wakifungua macho hasa walimu na madokta, wakajua jinsi baadhi ya watumishi kwenye baadhi ya taasisi wanavyolipana mihela, niamini, nchi haitatawalika.
Mazwazwa sharti wawepo ili nchi itawalike.
Huyo mama yenu haeleweki, anaharibu kwenye mipasho yake hasa,
Mara kuleni kwa urefu wa kamba zenu, Mara nikune nikukune, Mara nidhamu ya awamu ya tano kazini ilikua ni ya uoga Ila kwake yeye nidhamu hakuna kabisa.
Kingine no teuzi zake, kipara, Hiyo nnawie,mwigulu na wengine wengi wa awamu ya...
Mafuta yakipanda Bei, usafirishaji wa bidha hasa chakula unapanda Bei pia. Hivo, mafuta yakipanda hayaathiri wenye magari Sana, Bali watu wa Hali ya chini kwani mfumko wa Bei kwa vyakuala na bidhaa nyingine haukwepeki.
Duh, hii Safi Sana. Baadae wanaungana na chadema, halafu CCM ya Samia chali.
Hii nimeipenda Sana, najua kushinda hawawezi, Ila wakishamiri CCM itabidi 2025 wa rethink watuletee Chuma Kama mzee baba mwenda zake.
Ninachojua nikua zito anajua fika kua kizazi hiki ni Cha mazoba, hata akiongea upupu, lazima majority watamwamini.
Sisi wachache tunaoelewa tunashindwa kumdhibiti.
Na Hawa wawekezaji watamwita na kumziba mdomo kwa milioni kadhaa.
Hiyo ndo style yake ya maisha, maisha ya kitapeli. Kiboko yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.