Sasa waliomba kura za wananchi kwenda kuwaakilisha bungeni kufanya nini? kila siku wapo kwenye maandamano, mara jela na kugomea vikao vya bunge. Chadema wanajiharibia wenyewe, wangechukua muda huu ambao CCM wapo weak kujidhatiti kwa 2015.
Yaani kweli kabisa, wakati umefika wa Watanzania kuhakikisha tunapata huduma bora. Haiwezekani hizi kampuni zinazotoa huduma mbovu ziendelee bila ya kujali wateja wao.
BABA JUICE
Hivi mkuu nadhani haujui dunia inapoolekea, wewe unafikiri EU, UAE na EA community ni zipo kwa sababu gani? free movement of capital goods na human capital. sasa kuna watanzania milioni 3 ambao wanaishi nje ya nchi kwa sio maslahi yao tu bali na familia zao, na hao watanzania wengine...
Well I think it is time to question the Western Powers on how they can pick and choose which dictator to ambush and which one to baby sit.
I do not condone Gaddafi's and his regime decision to kill their own people, even though the western media gave him the "right" to do so by naming those...
Ndugu watanzania;
Ni jambo linalonisikitisha sana kuona viongozi wa serikali wakienda kupata matibabu nje ya nchi. Naamini kiongozi yeyote anabidi aongoze kwa mfano sasa kama waziri wa afya Mh Mwandosya nae yupo India akipata matibabu, hivi kweli atakuwa ana dhamiria au hata kuziamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.