Pole sana mkuu huyo shangazi yake anaonekana hamnazo! Mpe ukweli kuwa tabia hiyo haifai.. lakini pia je huyo binti wazazi wake bado wapo hai? Kama wapo ikibidi waeleze tatizo la huyo shangazi anayemuhifadhi mke wa mtu bila kuhoji kwa kina.
mwambunnyara,
Dah! mkuu pole sana me nahisi unakosea kitu kimoja; haukutakiwa kuwaona hao jamaa maana ukishajuana nae na ukimkatalia kutoa hela inakuwa rahisi kulipiza kisasi kwa vile anakujua.
Mimi nimesha washughulikia uhamisho watu wawili bila kuwaona hao wa tamisemi, cha muhimu upata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.