Sina hakika kama hii thread ilishananzishwa hapa, kama ni marudio si mbaya!
here we go!
1. Nenda Menu
2. Changua System Settings
3. Navigate kwenye Channel Search
4. Chagua Manual
5. Kisha weka 514Mhz
furahia siku yako!
1.Sikiliza ujumbe maalumu wa Lema katika Nyimbo, tembelea www.arushamambo.com.
2. Sikiliza hukumu iliyosomwa na Mh. Judge, Gabriel Rwakibarila.
3. Sikiliza hutuba iliyotolewa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema na aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Mheshimiwa Lema.
Kesho tarehe 7 kutakuwa na mkutano...
Jana kwenye news nilimuona aliyekuwa mkuu wa upelelezi wa polisi Abdallah Zombe nadhani anaumwa ugonjwa wa kisaikolojia (Psychological Disorders) unaoitwa Bipolar disorder (au manic depression), kitendo cha kujibu ishu ya Mbunge Godbless Lema wa Arusha alipohoji kama kesi yake imeisha ishaje ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.