Siku za karibuni tumeshuhudia ushindani, kuchachafiana katika hatua ya kura za maoni katika ngazi ya Ubunge na Udiwani kupitia CCM. Tanzania nzima imekuwa ikifuatilia mchakato huu kupitia vyombo vya habari na mitandaoni hadi sasa “Wajumbe” wamejizolea umaarufu kutokana na mchakato mzima. Binafsi...
Kugoma kwenda taifa kwa sababu hatafufuka hiyo ndiyo uanaharakati ndani ya Chadema. Ila pamoja na kwamba kanusurika kuuawa anarudi kama mtu ambae anataka kuwa Rais “siasa” ni kwenda kutoa pole.. unless uniambie Lissu hayupo serious na nafasi ya urais.
Toka asubuhi nimeona taarifa za hamasa za kumpokea Tundu Lissu. Ni katika kuhamasisha mipango ya ndani ya CHADEMA kumtengenezea ukubwa Tundu Lissu, lakini nasikitika kusema CHADEMA wamefeli kwanzia planning, na execution ya Jambo la Lissu.
Nitaelezea siku nyingine hapo kwenye planning ila kwa...
Baada ya msiba wa mtoto Paty, na sinema zinazoendelea nimejifunza mengi haswa baada ya kuona kumbe yaliyokuwa yanasemwa na watu kuwa huu mji wa Dsm kuna wanawake ambao ni Waalimu wa wanawake. Hawa wanapenda maisha ya hadhi, maisha ya instagram, maisha ya kuwapelekesha walio waoa na si wote ila...
Wakati mwingine inawezekana ni kwa kutokupenda kufuatilia au ni mambo ambayo hayatuhusu, ila leo wakati tunaangalia utoaji wa Tuzo za Malkia wa nguvu, mmoja ya walioshinda tuzo maalumu ya inspirational icon ni Joyce Mhaville.
Wakati anatambulishwa, Ruge mutahaba, Mkurugenzi wa Clouds Media...
Toka mchana zilianza kama story za chini kuwa JPM kasema iyo fiesta iende mpaka asubuhi kw sababu ni mara moja kwa mwaka na wamepewa masharti, sikuamini haswa baada ya RC kusema haitazidi sa saba. Mimi nataka niseme hii vita ya Makonda vs Clouds inaanza kuleta sign mbaya kwa mmoja katika hawa...
Tunaoangalia haya mashindano ya kusoma Quran, wakati mwakilishi wa CloudsTv alieenda kupokea cheti cha kutambuliwa kufanikisha mashindano hayo, Kusaga kaenda kukabidhiwa zawadi na Waziri mkuu, lakini alivyofika pale high table kampotezea Makonda as if ni kama hapakuwa na mtu wakati akishikana...
Toka asubuhi, nimegundua mabadiliko makubwa ya vipindi vya Clouds, na haswa maudhui yakilenga ajali ya karatu. Na baadaye nikapata taarifa kupitia mitandao ya clouds kwamba vipindi vitarejea jumanne usiku. Hapa jijini arusha, watu wanafarijika kuona namna watanzania wengi haswa vyombo mbali...
Sikuwahi kupata nafasi ya kumkubali Salum Hapi, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, haswa baada ya kuwa DC ambaye mkoa aliopo ni ngumu kuchomoza kutokana na aliyemtangulia Makonda kuwa amefanya vingi Kinondoni na hata Mkoani.
Jana nimemuona katika tuzo za malkia wa nguvu akimkabidhi tuzo Saida...
Watu wengi, tumeshindwa kuielewa Clouds Media Group, haswa baada ya kutangaza mgogoro na mkuu wa mkoa wa Dsm Rc Makonda, na baada ya hapo wameng'oa hata picha zake zilizokuwepo kwenye opening za taarifa zao za habari, wamiacha ya president Magufuli na nyingine nyingi ila Tukubali Clouds...
Mkuu zungumzia technolojia sidhan kama unachosema ni kweli kwa sababu nlikuwa kimara na nmekuwepo nairobi hizi technology ndio zinatumika kwa wenzetu.ujanja ujanja unaitafuna tz
Juzi nliona na kusikia kwenye vyombo vya habari kuhusu teknolojia mpya ya gharama nafuu ya ujenzi wa barabara ambapo sasa kilomita moja itajengwa ndani ya siku moja, Teknolojia hiyo imebuniwa na wataalamu kutoka Israel na Marekani na tayari barabara moja jijini Dar es Salaam tayari imefaidika na...
Nmeona nmeshambuliwa... sikiliza mimi nilichofanya ni kutafuta story ya upande wa pili.. je ni nini kilitokea na source ikawa ni Kija na bahati nzuri amesema Kafulila anaujua ukweli wote. Mimi nadhan hata kituo chochote cha habar ingekuwa itv au azam bado taratibu zisipofuatwa lazma wangechukua...
By the way mimi nimeongea na Kija Yunus..producer wa icho kipindi.. nasikia yeye ndo alomleta Mh Kafulila, lakini hakuwa amteoa taarifa kwa program manager wa cloudtstv.. afu yule program manager akapost kwenye group la clouds kuhoji kwanini wagen kabla ya kuja taarifa hazitolewi sikuiz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.