Jamani watanzania hivi hii stand yetu ni sawa kuwa na mlango mmoja tu wa kutoka magari au mpaka litokee balaa humu ndio tuanze kutafuta wa kumlaumu hata ukija alfajiri hapa wakati wa kutoka mabasi na abiria ni fujo tupu sasa je ikitokea tatizo humu ndani si maafa ya kutisha yatatokea hapa stand...
Hata mimi mabuga nashindwa kumuelewa anaita watu studio halafu hataki wajieleze kwa kina kuhusu masuala wanayoyajua yeye anawakatishakatisha tu,naomba mwache mtu azungumze kwa sababu sisi watazamaji tunapata elimu pale kupitia hawa watu unao waita studio sasa wewe ndio unakuwa muongeaji kuliko...
mweshimiwa rais amesema kweli ni vizuri watu wakavumiliana lakini watumishi wa halmashauri zetu nao tusiwavumilie kwa ubadhirifu wa fedha za umma kama kamati ya bw mrema ilivyobaini wizi mtupu huko kilimanjaro watumishi wale wachukuliwe hatua mara moja ili iwe mfano na kwa wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.