Search results

  1. menny terry

    Kwanini mikoa iliyotawaliwa na Mwarabu watu wake ni wavivu balaa?

    Wakuu habari zenu, Ni muda sijapita humu, leo nimeibuka na swali ambalo limekuwa likinisumbua Kwa muda sasa. Nina vi project vyangu hapo Bagamoyo na Pale Kilwa. Tangu nianze mpaka sasa napata wakati mgumu sana wa kupata vijana wachapa kazi. Huku vijana ni wavivu mno! Mambo ya kuchimba mashimo...
  2. menny terry

    Umasikini wa kutisha hapa Marekani

    Angalau wewe umekuwa muelewa! Kuna watu humu ni viazi sana! Yaani unajaribu kueleza kinacho endelea upande wa pili wa dunia ila bado mtu anakuja na nyodo!
  3. menny terry

    Umasikini wa kutisha hapa Marekani

    We jamaa una tatizo sio bure! Sasa hapo unaona umeandika nini! [emoji1787] Watu kama nyie ndio mnasababisha jua liwe kali bongo Yaani uko huko buza kwa mpalange na Tecno yako toleo la mwaka 2002 huku uso ukiwa mzito kama uji wa mtama unakuja kujibizanana na mtu anaye katiza mitaa ya Silicon...
  4. menny terry

    Umasikini wa kutisha hapa Marekani

    Iko hivi hapo nimejaribu kuweka tofauti kwa maana ya kuwa kuna africa american wazawa yaani walio zaliwa hapa US ambao walikuja kama watumwa! Wana majina kama Nigro, Niga na mengineyo alafu kuna waafrica wahamiaji yaani wale ambao hawakuja kama watumwa! Sasa hawa Negro wana wabagua wale waafrica...
  5. menny terry

    Umasikini wa kutisha hapa Marekani

    Umesoma andishi langu vizuri?? Au umesoma haraka haraka? Nimesema waafrica wahamiaji kutoka Africa wengi wao wamefanikiwa sana hapa marekani. Kuna fursa nyingi za kufanya mtu kufanikiwa. Unafuu wa africa ni kuwa maskini wa africa atleast hata ana shamba huko kijijini huku maskini ni maskini...
  6. menny terry

    Umasikini wa kutisha hapa Marekani

    Wakuu, Heri ya mwaka mpya! Ni muda sijaingia hapa Jamvini, hasa baada ya kuwa busy na mambo ya kimaisha. Leo nataka kuzungumzia umaskini wa kutupa kwenye Taifa hili kubwa kuliko Yote duniani kiuchumi yaani USA. Nimepita mitaa ya Skid Row hapa downtown Los angeles, silicon valey kule Bay...
  7. menny terry

    Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

    Hii ni kweli kabisa!! Ukienda japan leo hii ukawauliza wanatamani kwenda nchi gani basi jibu kwao ni moja tu US. Ukienda korea au china au Germany kote jibu ni moja [emoji631][emoji631]!! Tofauti ya US na nchi nyingine ni kuwa hapa jasho lako utaliona, na mifumo yao hapa imewekwa kumnufaisha...
  8. menny terry

    Maisha ya Marekani - Ukimya, Upweke, Magari n.k

    Ha ha ha!! Hakikisha kabla hujafa umefika marekani! Hiki ndo kiwanja pekee cha wajanja! Hapa kuna mpaka Wajapani na wajerumani hawataki kurudi kwao. US is the best hakuna kwingine kama US hasa kwa wapambanaji.
  9. menny terry

    Maisha ya Marekani - Ukimya, Upweke, Magari n.k

    Ha ha ha ha!! Mzee umeongea vyema sana loh [emoji1787][emoji28][emoji1787]
  10. menny terry

    Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

    Utafanikiwa sana kaka! Muhimu ni kama nilivyo kuambia kaa mbali na wabongo then kaa karibu na wakenya! Wengi walifika huku kitambo sana so wanaifahamu US ndani nje na wengi wao ukiacha wazembe wachache wamefanikiwa sana hapa US. Kule Seattle nimekuta makampuni ya Logistic mkabwa sana...
  11. menny terry

    Maisha ya Marekani - Ukimya, Upweke, Magari n.k

    Si ndo hapo!! [emoji28][emoji28]
  12. menny terry

    Maisha ya Marekani - Ukimya, Upweke, Magari n.k

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  13. menny terry

    Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

    Mkuu ushauri tu nakupa! Ukifika hapa The land of oppotunity! [emoji631][emoji631]! Kaa karibu na wakenya watakupa michongo yote ya kusaka pesa! Kaa mbali na wabongo! Wabongo bado ni watu wenye mizaha sana kwenye mambo serous! Wakikukuta unabeba box wataanza kupiga simu nyumbani nakufanya mizaha...
  14. menny terry

    Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

    Mkuu ni kweli kabisa! Hapa ukifika utakuta hadi wajapani hawataki kurudi kwao wote wanakomaa hapa, nilishangaa sana hadi wajerumani,waingireza na wacanada wote hawataki kurudi kwao. Wameamua kukoamaa hapa. USA [emoji631] ndo kiwanja pekee cha wajanja wanaotaka maisha zaidi ya huko nyumbani...
  15. menny terry

    Maisha ya Marekani - Ukimya, Upweke, Magari n.k

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  16. menny terry

    Maisha ya Marekani - Ukimya, Upweke, Magari n.k

    Inategemea wewe unataka kuja kwa sababu gani!
  17. menny terry

    Maisha ya Marekani - Ukimya, Upweke, Magari n.k

    Ha ha ha ha!! Lakini kuna baadhi ya majimbo watu weusi ni wastaarabu sana nadhani ni kwavile elimu imewasaidia. Kwa mfano Mji wa Atlanta una ma black america wengi sana wenye mpunga wa kufa mtu. Na hawana mavurugu kabisa
  18. menny terry

    Maisha ya Marekani - Ukimya, Upweke, Magari n.k

    Ha ha ha!! Yeah ila kule ni pazuri sana maana gharama za maisha ziko chini sana na pia wana ma viwanda ya kufa mtu! So kazi za kule nyingi hazihitaji shule ni kufundishwa kidogo then u aanza kula mpunga
Back
Top Bottom