UCHU
KASHESHE
XIII
Huyu Willy Gamba lazima atakuwa
kaingia hapa, hatujui kapita njia ipi na
yuko sehemu gani?", Nkubana
alimwambia Col. Gatabazi kwa njia ya
radio.
"Haiwezekani, hakikisha kwanza", Col.
Gatabazi alijibu kwa hofu.
"Hakika ni yeye Willy Gamba, tumekuta
sehemu imechimbwa...
UCHU
XII
"Saa ngapi sasa?" Bibiane alimwuliza
Willy Gamba.
"Imefika saa sita na nusu sasa", Willy
aliMjibu.
Walikuwa tayari wana saa moja ndani ya
kambi hii ya kijeshi na bado walikuwa
hawajapata tatizo lolote. Sasa ndio
walikuwa wanaanza kutega mabomu
kwenye bweni la mwisho ili baada...
UCHU
KASHESHE
XI
Nkubana aliamua kuwasiliana na Col.
Gatabazi kwa simu ya upepo. Alipompata
alikuwa tayari amewasili Goma na
walikuwa wameanza mkutano. Nkubana
alieleza kwa kirefu yote yaliyotokea na
kisha akashauri. "Huyu Willy Gamba hajui
nguvu zetu. Hivyo, ameamua kwenda
kujinyonga...
UCHU
KASHESHE
VI
Ilikuwa saa nne na nusu usiku, wakati
Jean na kundi lake walipoondoka
Kibumba kuelekea Goma.
"Hakika nimeridhika na ari ya wanajeshi
wetu na uwezo mkubwa wa vikosi vyetu,
pia nimefurahishwa sana na aina ya
silaha tulizonazo, hii inaonyesha ni jinsi
gani tumedhamilia...
UCHU
GISENYI
VIII
Willy Gamba na Bibiane walisafiri salama
kutoka Kigali mpaka Gisenyi bila kukutana
na kituko cha aina yoyote Barabarani. Lile
gari lenye alama ya Msalaba Mwekundu
liliwafanya wasafiri bila kupata usumbufu
na habari zilikuwa zimetumwa mapema
na wale askari watatu...
GISENYI
VI
Baada ya kupata habari hizi
walikubaliana kuitisha mkutano wa
dharura mnamo saa sita na nusu
mchana. Rais alipiga simu tena kwa
Jenerali Bunyenyezi na kumwambia afike
ofisini kwake haraka akiwa pamoja na
kiongozi wa upinzani wa Zaire, aliyekuwa
akiunganisha vyama vyote vya...
UCHU
GISENYI
Ilikuwa yapata saa kumi na mbili alfajiri
wakati Willy Gamba na Bibiane
walipokuwa wakiondoka nyumbani kwa
Bibiane kuelekea Goma, nchini Zaire.
Baada ya Bibiane kwenda kulala usiku na
kumwacha Willy akimpa habari Col.
Rwivanga kuhusu yote aliyoelezwa na
Bibiane, usiku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.