Majukumu yanajulikana na yanaonekana kila mechi na nilijaribu kuelezea kwenye post yako uliyouliza kuhusu kwanini ox na keita hawaanzi ila wakiingia wanaleta mabadiliko.
hapa chini nimejaribu kuweka bandiko linalojaribu kujibu swali lako pia kutoka kwa Peter Crouch,Tafadhali naomba upitie...
nafikiri wewe ndo unashindwa kuyaelewa majukumu ya hendo au unalazimisha majukumu yawe unayoyataka wewe.Nikuulize swali unasema hendo anacheza kama kuunganisha kati ya kiungo na front 3,je umeshawahi kumwona hendo yupo upande wa kushoto wa ushambuliaji? na je umemuona Gini mara ngapi upande wa...
Kwa uelewa wangu mimi klopp kwa sasa ana viungo wake ambao ni tried,tested, and trusted ambao wamecheza pamoja muda mrefu na wanaelewana kila mmoja mapungufu yao kwenye kuretreat na tayari wana record nzuri ya kushinda uefa na 97 points epl msimu uliopita na pia temeshinda mechi zote kasoro draw...
kaka mido zetu zinafanya cover full back weki ambao kwa staili ya livwr tunashambulia na kucreate kupitia wingbacks mbona lipo wazi hili....Gini/milner huwa wanacover rober na hendo wanacover trent huku wakifanya ball recycling ...ni muhimu pia kufuatilia na forums za timu zingine kujifunza...
Kitu watu wabashindwa kuelewa ni kuwa wachezaji pro wanapewa majukumu na kocha uwanjani,na kama hafanyi vile anavyotaka kocha basi atakaa benchi ,kama timu itafungwa kocha atawajibika kwa hilo kwa sababu ni manager/head wa timu.Sasa liver ina 16
Hawataweza kukuelewa mpaka pale watakapojua kuwa...
sawa kabisa mkuu,na kuongezea point nyingine pia...msimu huu tunacheza high defensive line kutokana na sababu mbili zifuatazo(IMO)
1. kuubana uwanjani uwe mdogo hii inasaidia pressing game(from the front line) kuwafanya wachezaji hasa middlefielders wasichoke kwa kucover short distance during...
kaka wak
kaka wakati mwingine stats hazikuelezi kila kitu uwanjani,na kuna tofauti kubwa sana kuangalia mpira kwenye TV ,na kuangalia live uwanjani...kwa sababu mfano wanachokifanya gini ,hendo na firmino OFF THE BALL,huwezini kuona kwenye stats sehemu yoyote ile mpaka uwe uwanjani...na hapa ni...
kaka
ukipata nafasi uwe una peruzi na forum za team zingine mara moja ili uweze kufahamu maoni zaid kuhusu wachezaji wako nje ya mapenzi binafsi yq liverpool..mfano chini
spurs(thefightingcock.com)..wanamwogopa mane kuliko salah
mancity(bluemoon.com)...ikikaribia mechi na wao akili ipo kwa...
jamaa humu washasahau allison alisainiwa kipindi gani?Ilikuwa baada ya pre season mechi mbili tatu hivi...sababu nataka kuwa access waliopo kwanza kabla ya kuamua kuwauza au mikopo tena?ypu give them second chances...sisi siyo city au chelsea wanasajili surplus to requirement afu hawatumiki...
pole sana mkuu lakini nafikiri hii ni fizikia na hesabu kwa wingi sana sababu nadharia nyingi na zinahitaji hesabu na makadirio ya juu ili kuzithibitisha.
Kaka,
Hawa wote uliowataja wametumia njia na kanuni za Newton,
Sijui ni kitu gani dunia hii unaweza kukifanya bila kutumia kanuni za Newton halafu mkuu unasema jamaa alikuwa average ??
Kwa ufupi Jiji la Mbeya lilikuwa linatisha sana kwa matukio...ila mambo yote yaligeuka historia baada ya kuwasili kwa kamanda Sanya. Big up sana kwa kamanda huyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.