Sasa tumwamini yupi maana tiba inaonekana kua ni njia yakujipatia umaarufu na pesa kwa njia rahisi. Jamani tuwe makini na watu wanaozuka nakujitaftia umaarufu maana kama dawa ya nabii ingekua inafanya kazi kati ya hao watu 100 tungukua tumeshapata ushuhuda kamili juu ya tiba yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.