Search results

  1. segwanga

    Tunduma: Soko la Manzese lateketea kwa moto

    Mabebeberu wanatumika.
  2. segwanga

    Nani kachora Nembo ya Taifa kati ya Ngosha, Kabati au Farahani?

    Sasa hivi babu anaenjoy matibabu bure toka kwa serikali. Sishangai serikali kutokuwa na kumbu kumbu kwani hata hati ya Muungano haijulikani ilipo.
  3. segwanga

    Nani kachora Nembo ya Taifa kati ya Ngosha, Kabati au Farahani?

    Kama hatuna kumbukumbu za miaka ya hivi karibuni je tutaweza kujua aliyebuni jina la Tanganyika!?
  4. segwanga

    Kwann TBC haikulipa kipaumbele tukio la uvamizi Mkuranga

    Kuna mtu anayeangalia taarifa tbccm! Hongera
  5. segwanga

    Sakata la Mchanga wa Madini: Rais Magufuli ateua kamati ya Wataalam Kuchunguza Makontena ya Mchanga

    Namkumbuka huyo jamaa alituingiza mjini siku ya mabashite
  6. segwanga

    Sakata la Mchanga wa Madini: Rais Magufuli ateua kamati ya Wataalam Kuchunguza Makontena ya Mchanga

    sera yetu ya kwanza kwa bidii someni sana, sera yetu ya pili kwa bidii kuleni sana. Sera yetu ya tatu kwa bidii chezeni sana! Mafanikio sera ya kwanza afadhali, nayo ya pili kidogo sana nayo ya tatu hakuna kituuu.
  7. segwanga

    Inabidi Watanzania tumuombe msamaha Rais Magufuli

    Unataka afurahi? Siku trump akifurahi na yeye atafurahi
  8. segwanga

    Yuko wapi Mh Zitto?

    Anaandaa mswada binafisi wa kumwipeech rais
  9. segwanga

    Academics &Professional CV ya Deogratius Nalimi Kisandu

    Mbona hujasem ulivyokuwa unawadunga mimba watoto wa watu na kuwatelekeza
  10. segwanga

    Website Ya NECTA ni mbovu sana

    Mnataka matokeo ili iweje? Nendeni mahakamani!
  11. segwanga

    Hata Tume Huru ya Uchaguzi ikiwepo Tanzania, CCM hawawezi kuachia ngazi!

    Tume huru ya nini? Lengo la chama ni kushika dola. Haijalishi umeshika dola kiuhalali au la. The end determines the means
  12. segwanga

    Yuko wapi Deogratius Kisandu?

    Pole hata mke wa kuoa umekosa. Umepigwa pini
  13. segwanga

    Ni sahihi Mh. Rais kuzungumza lugha ya kabila lake katika mkutano wa hadhara?

    Nawashangaa watu wazima hamjui kisukuma? Kisukuma ni lugha kubwa
  14. segwanga

    Ubunifu wa JPM na Shein ni wa kupongezwa!

    Benchi linaumiza. Ndio maana mmkja huwa haji baraza la mawaziri maana naye huwa anahesabika kama waziri kwenye cabinet
  15. segwanga

    Kagera, tubebe msalaba wetu wa tetemeko, njaa, UKIMWI mpaka kwenye sanduku la kura mwaka 2020!

    Uchaguzi ni mkakati, mnaweza mkajipanga kukomoa chama flani lakn kikashinda kwa kishindo tena ndani ya eneo linalokichukia. Mifano mnayo ya kutosha. Shein alipata 94% ndani ya visiwa vyenye asilimia kubwa ya wapinzani. So msijidangaye wakati hamna mkakati wowote
  16. segwanga

    Nina watoto, sina nyumba na sina mke

    Umebakiza hatua chache sana uanze kuokota chupa za maji
Back
Top Bottom