Vijana ni vijana wa ccm na chadema.Tofauti ni kwamba wa Chadema ni waheshimiwa na wanaongea lugha ya wananchi wote (+waliokomaa kifikra).Vijana wa chadema wanafanya vitu practical na wakiongea baba zao wa ccm wanatamanani kuendelea wasikiliza wakijidai kutaka jibu hoja ila ni kujifunza kwa...
Umewahi ulizia hili? sheikh Amri Abeid Aman Karume? Wel, unaweza dai zanziba ni nchi ya kiislam but kuna wakristo ambao hawajawahi kuwa waislam kwa vizazi na wala hawatakaa wawe waislam maisha yao yote.
By the way waislam
kuandamana kudai wanachoamini kuwa haki (100%)+ kuichukia Bakwata( (100%)= mufti kutosikilizwa aka kupuuzwa(100%)
CCM wana hali mbaya kila anayewatetea(okoa roho zao) anawaangamiza zaidi.
Blog yake haipo proffessional.Nadhani network imemsaidia sana kupata matangazo kibao hadi yamejaza sehemu ya juu yote na kuifanya very heavy and haivutii. Hii ndio bongo ila soon hivi vinetwork vya kijinga visivyo na watu wenye vichwa vitakufa CCM ikiondoka. Jamaa na umaarufu wake katika picture...
Wakwere wajinga nadhani hata mshenga wa presidaa anatafunwa na mshenga.Kajamaa km kahindi ukikaleta kazini basi wewe ndio mkuu kuliko bosi.****** naye kachuckua huu ustaarabu rostam alikaweka basi hakana ujanja
Sasa km jamaa hana mwenyeji atafanya nini?Anaona ni bora afe vitani pengine kuna wapumbavu watakuja na historia ya kupika kama ya kwetu.HATA SADAM HADI DAKIKA YA MWISHO ALIKUWA ANASEMA ATASHINDA.
Masikini CCM.
Nadhani kwa wabunifu hapa kuna dili. Ukiweza pika data ktk research angalau wapate mtu mmoja ambaye ataitwa adui wa dini/No chama mradi awe adui wa mafisadi uweke na vi eveidence kidogo ambavyo kwa uwezo wao hawawezi shtukia unaukata.
Usishangae hotuba ya Rostam dhidi ya Mengi...
I am blessed to be non-sisi mafisadi.I new they would never make it out of the hook...Chadema cha wakatoliki, mbowe ni Lutheran,Kikristu-Zitto si mkristu. Wanaokea ufadhili wa nje.....wameejielekeza where chadema wont use much force to kill them....Nashangaa wanapoteza muda fuata chadema huku...
atafanyaje na hapo ndipo cdm wamewashikia kooni. By the way kachanganyikiwa km wenzie anaongea asichokijua kwa vile hana muda wa kufikiri the world is moving so fast
Ngoma inakuja kwa wale waliojenga utajiri wa kufa mtu Ukanda wa Afrika mashariki, kwa bidii zao bila ajira ya serikali ya bongo....[shirika landege precissiopn air][mabasi dar express].[Baa ya Mchagaa][duka la mchaga] [guest house ya mchaga] wakwere msijenichukia nishauri mchaga afunge guest...
Haha... its funny the whole bunch of CCM/UVCCM cretins cant beat Sitta... Kazi kubwa wamefanya bure kawamaliza kwa maneno machache...hawa ndio viongozi wa kesho wa CCM hawawezi hata kuja na Idea mpya zaidi ya huyu mzee Sita. Hapa ndipo ninapowapenda vijana wa CHADEMA wao huto version moja...
I guess wewe si msomaji wa Biblia ila umechukua coverup pia hujamsikiliza Babu...babu alisema kuwa dawa yake si kinga so ukienda kumess up tena utapa matatizo tena(pengine akusema ukubwa wa tatizo likijirudia).
.Yesu pia alifanya maajabu kwa kutumia vitu.alitema Mate na kutengeza tope akamponya...
Weldone kaka...by the way CCM bado wamelala...na makamu wa rais si kasomea nuclear physics? ila na hilo hakuweza think faster...oh no..wanasumbiri chadema waseme ndio waamke na kweda kupindua hoja(iwe yao, au waikatae kabisa). by the way wanadhani babu atatibu tuu.
Buy The time wankubaliana serikali ilikuwa hoi ktk maendeleo ya nchi......asilimia kubwa ya shule na hospital za rufaa, vituo vya mayatima, vituo vya kutibu vilema, etc vilikuwa chini ya makanisa...ki msingi nchi ilikuwa inatunza na makanisa. Sijui unajiuliza unakoabudu kwanini wamekosa kitu km...
sidhani kama tuna cha kuamini when it comes to viongozi wetu, tafiti zetu, na ujinga mwingine unaopangwa ofisini kwa rostam na kusikika ikulu.Rostam sijamsikia tena kuhusu Loliondo..
Slaves cant think anywhere nearly to a free man..Zanzibar are slaves in lots of things.Including "..Mentally..". Barbarism will never end there.They are fighting for an empty land...which needs more foreigners to develop.. next time naenda chukua karafuu naotesha ktk mapori then wakajiriwe kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.