Tumechoka na haya matamko, karibu tv zote zinafanya kinyume na vile tuliambiwa wakati tunahama kwenye analogia. Sasa cha muhimu hao TCRA wachukue hatua maana tulishalalamika sana kupitia njia ambazo tuliambiwa tutumie kutoa malalamiko, na pia TCRA watoe elimu ili kila mtu ajue kwamba kile...
wakati Azam wanaanza kutoa huduma walitoa na vipeperushi wakionyesha channels za bure na za kulipia lakini jambo la kushangaza baada ya muda wa malipo kuisha na wiki tatu kupita walikata hata zile walizotuambia kwenye vipeperushi ni bure! sikuelewa wapi nipeleke malalamiko maana ilikuwa kama...
Ndugu nashukuru sana kwa elimu mnayotoa, mimi niko Musoma na natumia dish na king'amuzi cha azam. Uwezo wa kulipa kila mwezi haupo maana Azam hamna channel za bure usipolipa tu hata zile wanaita za bure wanafungia! Naomba kueleweshwa kama naweza tumia king'amuzi hiki nje ya mtandao wa azam na...
Mambo yatakuwa magumu sana kwenye kupitisha Ibara za katiba! Natabili kuwepo kwa rushwa kubwa tu maana ratio hapo tu inaonyesha ugumu huo utapataje 2/3 kwa kila upande?
Bwana Lunyasi unapobonyeza ok kitakachoonekana ni list ya channels na juu kabisa heading itakuwa Azam channels,baada ya hapo ndio bonyeza vol na utaziona,other channels ukibonyeza tena utaona radio tena unarudi mwanzo,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.