hizo video zote mbili ni series,kitwanga anaongea bila ushirikiano, na ni siku mbili tofauti, wakati tofauti,lakini presentation ni the same to me dizaini kama jamaa ndivyo alivyo, ya bajeti na hiyo hapo chini hazina tofauti except labda bajeti ilikuwa read-only, otherwise niambiwe zote alikuwa...
Umesahau kupangiwa bei ya bidhaa eg sukari tshs 1800 kila mfanya biashara anataka nguvu ya demand and supply hizo involvement zq govt ,sijui...tumpe muda
Ukifanya kazi kwa kuogopa kukutwa,kutumbuliwa etc ubunifu uko wapi?maana kila mtu anaogopa kukosea, I for one, sipingi kulikuwa na utovu mkubwa wa nidhamu kwa watumishi wa serikali (na some private institutions) lakini kuna njia nyingine za kusolve issues than kulazimisha watu waogope kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.