me nakumbuka nilipigwa kibuti na demu wa kwanza kutongoza nikiwa form 1. alinifanya niogope vibuti sana mpaka leo hii kwa sababu ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kutongoza na kupigwa kibuti hapohapo. baada ya hapo nikawa nikitongoza demu na akinikubali na kuingia naye kwenye relationship nakuwa...
kama asinge fata hiyo biskuti na soda yangemkuta hayo!! tatizo tamaa ndio ilimponza.inamaana hakujiuliza kama alikuwa kaka yake kwa nini asingepewa hivo vitu kwenye public places walizokuwa wanakutana kila siku mpaka akampee chumbani kwake. kweli tamaa ni upofu, na dada zetu wengi wameshapofuka...
still tunahitaji kuwa na jkt kwa sababu naamini wananchi wake watakuwa wakakamavu na watakuwa wamejengewa ujasiri wa kupigania nchi yao.leo hii mgambo tu wakitisha kidogo watu wanakimbiaana na kujificha. je ukitokea uvamizi wa kigeni wataweza kupigania nchi yao kweli! tuacheni kuponda ujio wa...
wabunge wa ccm ni wapuuzi, wananchi wamewachagua kwenda kuwawakilisha kwa kutetea masllahi ya wananchi na taifa kiujumla badala yake wao wanakwenda kutetea upuuzi wa serikali na kupinga hoja muhimu za wapinzani zenye manufaa kwa taifa letu kwa kulaghaiwa na posho zinazotokana na jasho la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.