Yote yaliyosemwa kuhusu waziri mkuu 'mstaafu' yanatosha sasa.
Kuna mambo mawili ya kufanya hapa.
1.Afunguliwe mashtaka sheria ichukue mkondo wake.
2.Tuendelee kupiga soga kumuhusu huyu mheshimiwa sana.
huoni mwega wa hoja zako kama umeenda hari jojo? huyo dogo ni mwananchama na sio kiongozi wa jumuiya mkoa wa kilimanjaro.mwenye mamlaka ya kuzungumzia maamuzi au maoni ya vijana wote wa mkoa wa kilimanjaro ni mwanachama au viongozi?
tafakari,chukua hatua.
nimeona habari hii ITV ila naomba niweke kumbukumbu sawa...alietoa tamko sio kiongozin wa vijana mkoa wa kilimanjaro ila ni kada wa CCM na UVCCM.kijana huyo anaitwa paul makonda anasoma pale MUCOBS.ni kijana loyal kwa mh SITA.
huo ndio ukweli anaetaka aamini asietaka aache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.