waheshimiwa sana memba wa jukwaa hili.
Nimesumbuliwa kwa muda wa mwaka sasa na fangasi na sijaona dalili za kupona.
Zipo karibu na korodani na sasa naona zimeanza kukamata korodani pia.
Kwa dar hii wapi naweza pata huduma bora na za uhakika.
Ningependelea hosp private.
asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.