Pesa, Nguvu na mwanamke. Yani hapo ni unatawala nchi, hakuna kiongozi atake sema hapo. Nyie subirini hata wabakwe kijiji kizima hakuna anaejali. Kulinda utajiri ni muhimu kuliko kingine chochote.
Huyu waziri ana akili timamu kweli? Ya nchini kwake yamemshinda EPA na menginey watu wapo wankula starehe kama kwaida na bado wantumbuwa pesa za umma. Wazungu ndiyo waliokuwa wanpiga kambi kule uingereza nje juwa kali, baridi kali pesa za walal hoi zirudishwe, leo hii yeye kaa offisini nakula...
Kuna yeyote anefikiria kwamba huyu kijana atafanyiwa chochote? nyie semeni matachoka lakini mali atakuwa nazo maisha yake yatakuwa juu daima, maskini watanzania watendelea kuwa maskini, bakuli zitaendela kutembezwa na watachukuwa hizo pesa na uendeleza mali zaidi, hazitafikia watarajiwa hata...
Tanesco Arusha wizi wa pesa za wannchi macha juwa kali linawaka hata aibu hawan kuzungusha wannchi kutewa nzima, kuwalipisha zaidi ya viwango vyao, kukata umeme kwa chuki na kuwalipicha mamilioni, muulizeni mhasibu wenu Tanesco Arusha amekusanya mamilioni mangapi kuanzia mwaka jana mpka mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.