WERAWERA!!!! Mbona hamcomments sasa??? ndo maana kwa TZ hakuna kujiuzulu pale ambapo kiongozi ameharibu kazi....Kulingana na maadili ya Jeshi kipengele cha kugoma au kujiuzulu hakipo na ukilazimisha ni kifo cha risasi au kitanzi ,so wamewa ifluence viongozi wengine wa kiraia wa-adapt kipengele...
mimi sio dr. but as far as akili yangu ndogo inavyonituma ,hakuna madhara zaidi ya faida tupu! one, utakuwa safe zaidi na magonjwa kama H.I.V, gono,kaswende,fungus na mengineyo mengi yakiwemo mapangusa n.k,pili; unabana matumizi yako ,eg vile ambavyo ungekuwa unawahonga mademu kila uki du...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.