Hii ndo tiba ya umasikini unaweza kuandaa eneo la ufugaji hata polinis ana ambako hakuna umeme wewe utapeta tu,,,, kwa bukoba hatuna mtu ila wewe kama una mtu apa dar basi itakua rahisi,uyo mtu ndio ntasaidiana nae kukutumia mzigo na wewe utamlipa
Battery not included, kuna mtu yupo Moshi hapo ndo utamlipa pesa baada ya mashine kufika ila gharama za usafiri ni juu yako, sijui kwa mabasi wanachaji bei gani adi moshi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.