Nilikuwa na BF wangu tukapenda sana mpaka tukakubaliana kuona kwenda kwa wazazi wake wakanikataa eti kabila tofauti aoe kabila yake baada ya kuambiwa hivyo mie mapenzi yakapungua kabisa, na yeye aliona akawa hataki kunielewa nikawa nakata mawasiliano kabisa na yeye wala sikumuhitaji tena...
Huyo ni muhuni sasa hata akiwa soba hataki kuongea. ingekuwa akiwa na ulabu ndo noma ila sasa mambo mengine magumu hata kuingilia.
ila ndo yataka uvumilivu ila saa nyingine inakuwa ngumu
Wanawake tunaonewa. Rose Migiro nae alitoa rushwa ya ngono akawa naibu katibu mkuu wa umoja wa mataifa??
Sie ni mama zenu, dada zenu, shangazi zenu, wake zenu mbona mnatuonea hivyo.
Tukifanya kizuri tumependelewa eeehh jamani hebu give us a break
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.