acha uchonganishi kaka toa habari kamili sio yakuonyesha polisi tu wao ndio wakosaji..sema hao waliopigwa wamefanya nini na wameonewaje.je kama walikuwa wanahatarisha maisha ya askari je wangefanyaje zaidi ya kuwafyatulia machozi bomb?
sasa mnaenda kwenye mikutano kutafuta seriklai itamuua nani jamani mkizuiwa msikilize amri....by the way nyie mnaandamana viongozi wetu wako kwenye raha zao nyie jua lenu mvua yenu acheni hizo...
Mimi nakipenda chadema lakini kuna mambo wanayofanya yanaboa kiukweli, najua kabisa siasa za chadema ngoja muone mwisho ..kama hiyo barua inaukweli na madai yaliyotolewa ni vyema siasa zetu bongo tukazireebisha sio kujitengenezea matatizo halafu kuja kusingizia mtu au watu fulani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.