Huna tofauti na wale vijana wakitongoza binti na kukataliwa wana waua. Sio lazima kila unachoomba upewe lakini pia huenda huna hadhi sawa na unayemtongoza tafuta level zako
Haliuzwi sehemu ni unatajiwa vifaa vya kununua wewe ndo unaenda vitafuta.
Labda kama siku hizi wemerahisisha kwa wale wavivu ila sio lazima uchukue hapo
Begi ni lolote unaloweza kuwekea vifaa,
Pamoja na vifaa vilivyotajwa hapo juu ni vizuri pia waweke khanga kadhaa, vitenge na nguo za mama mjamzito za kudalisha baada ya kujifungua.
Huwarahisishia sana kazi nurses wanaowahudumia wajawazito mana begi huwa lina kila kitu hivyo hata mama hasumbuki.
Uache kulaumu wanao mfira uje ulaumu wanawake una kichaa wewe kwani walimshikia miguu. Mijibaba ya jf mnakera kila tatizo lawama mnawapa wanawake khaaa kwa style hii ya kulalamika acha muendelee kuliwa tu
Bora hata huko mnapewa hizo form huku niliko nahudumiwa mwisho nikitaka card naambiwa ni sign kwenye ki mashine hata huwezi jua gharama zilizotumika maana hatuzioni kabisa form zaidi tunapewa vi paper vya number
Huyo ni mtoto wake wa kumzaa anamfanyia unyama hivyo, sipatii picha huko kituoni na sehemu zingine anapokutana na watuhumiwa au waalifu khaa.
Kuna shida mahali kwa jamii hasa miaka hii . Tatizo la akili hili
Una kiranga mwanamke naona tu hapo umekumbuka ukunaji wa bwana mchaga na huenda ana vijisenti so umemtafutia sababu mumeo ili u justify unachotaka kukifanya. Tulia mwana wa kike hata huku unakotaka kukimbilia utajutia sana. Hakuna ndoa rahisi kamwe so usije ona ugumu kwa hii ya kwanza ukadhani...
Mi nadhani usije Dar kwanza mana sioni haja ya kuja huku ni kupoteza nauli na ku risk kazi maana umesema sometimes huombi ruhusa. Mtoto utamuona tu hata wakati wa likizo. Mkeo amekuchoka na hajui njia nzuri ya kukueleza so nawe jiongeze maybe kapata mtu ndo mana hata ilikua rahisi kwake hutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.