iwapendeze ndg zangu, umekuwepo mkanganyiko kuhusu sheria zilizofanyiwa marekebisho 2010 kama zimeshaanza kutumika? kama kuna mtu ana ushaidi kuwa zimeshaanza kutumika anisaidie juu ya hilo.
Judge chipeta atakumbukwa kwa mengi ila nitamkumbuka kwa mchango wake ususani nikiwa kama mwanafunzi wa sheria kwenye vitabu vyake kama magistrate's manual,administrative law in Tanzania na Hand book for Public Prosecutors.Mwisho Prof Issa Shivji kwenye Rulers of law and Rule of law Judge...
defense of alibi.ni pale ambapo mtuhumiwa anasema sikuwepo eneo la tukio ambapo kosa limetendeka pitia kesi ya nguza viking(babu seya) mtoto wake aliachiwa kwa kutumia defense of alibi
Ongera kwa kujiandaa kufanya toefl kwa dar unajiregister tansao(golden tulip) na mtihani int sch of tanganyika.pia hata ukitaka sat but ielt nenda british council toefl $ 300.usisite kuuliza tena
Samahani wana jf.nipeni nafasi ya kufanya masahihisho na kueleza vizuri.thr 3/12/2011 kutakuwa na kongamano la minaki na miaka 50 ya uhuru shuleni minaki kisarawe pwani.tunafanya mikakati ya kutafuta watoa mada mbalimbali na waandishi wa habari.tuna amini tanzania itajengwa na watanzania.wazee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.