Bashite hafai hata wewe mwenyewe unajua hivyo labda kama amekutuma uje umteteee huku. Ndio maana akaharibu event nzuri ya Jokate ya kutokomeza zero Kisarawe kama kawaida yake mange amemuita 0 brain
kuna kampuni ya simu za mkononi inaitwa tiGO angalau kampuni ndiyo imesajiliwa kwa jina hilo halafa jamaa wakaanza kubadilisha maana. hili la kutusua linamaanisha kufanya mapenzi na demu. ITV ondoa hilo tangazo please
Kutusua ni lugha tuliyokuwa tunaitumia miaka hiyo ukipata demu ukalala naye ( kufanya naye mapenzi) ndio unasema umemtusua lilikuwa neno la kawaida sana kwa vijana wakati huo...... Maana yake ndio hiyo hata kama hutaki ITV wasitishe hili tangazo sio zuri linafaa kule kwa wakubwa
Kuna Tangazo linatoka ITV la TMT linalosema mpaka utusue, mpaka kieleweke, mpaka ukome. Sasa hili neno 'mpaka utusue' maana yake nini? Kwa sisi wa miaka hiyo, hili neno lina maana mbaya, na ubaya tangazo hili mpaka watoto wanaangalia.
Ni vizuri ITV wakasitisha tangazo hili mara moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.