naomba hii mada ifungwe,ni udhalilishaji wa hali ya juu kulinganisha UDOM na UDSM,UDOM inahitaji atleast 10 yrs from now kunusa level za UDSM,hapo ni baada ya siasa kuwekwa pembeni na kina kikula kuanza kuwa serious na elimu za watu,tuacheni utani jamani
ndugu yangu usiwe na dharau ka za mwanamke wa pwani,tofauti ya UD na UDOM ni kwamba UD wanachukua wanafunz wenye div 1 tu kwa course zenye competition,wakat UDOM wanachukua mpaka wenye div 2,sio kweli kwamba UDOM wanachukua failures,rekebisha post,hakuna chuo cha govt kinachodahili watu ambao...
DEGREE PROGAMMES AMBAZO
ZIMERUHUSIWA KUFANYA FIELD
PRACTICAL TRAINING MWAKA
HUU KTK COLLEGE YA
HUMANITIES AND SOCIAL SCIENCE
YA UDOM: Bachelor of
Business Administration(BBA),
Bachelor of Business
Administration BBA Evening
Bachelor of Commerce in
Accounting - B.Com (AC)
Bachelor...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.