Wewe jamaa; unamtaka mleta uzi akupe documents za ujenzi wa madarasa hayo yeye ndiye mkandarasi au Mwalimu Mkuu au DED Magu?
Anacholalamikia mleta mada ni kuwa, serikali ilitoa milioni 40 za EP4R kwa DED Magu kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili pamoja na madawati yake; kwa BOQ ambayo kiasi...
Usilolijua ni kama usiku wa giza!! Wewe hujui usemalo; na ninakushauri kuwa, kabla ya kusema chochote kwenye majukwaa kama haya fanya kwanza utafiti; acha kukurupuka.
NANI ALIKUAMBIA KWAMBA MWALIMU MKUU HATEULIWI NA AFISA ELIMU WA WILAYA?
Afisa Elimu wa Wilaya Msingi (kwenye mada iliyopo)...
Hizo zitakuwa zimetengenezwa na Duplicate Industries za Mrusi zilizoko Iran and allies; zinapelekwa field kwa majaribio.
Hata China kuna Duplicate Industries za brand za Marekani kama iPhones, computers za acer, hp; n.k.
Siyo kila bidhaa ya US unayonunua imetengenezwa US; zingine zimetengenezwa...
Kinachotekwa ni ARDHI; vilivyo juu yake kama majengo na miundombinu, vitajengwa Kama vilivyokuwa vimejengwa awali hata na kuzidi.
Raslimali iliyoko chini ya ardhi, kama madini na gesi, vitabaki kuwa chini ya aliyeiteka.
GO Vladmir Putin; PUT THEM IN.
Uko sawa; lakini wanapaswa wajue kwamba nyakati hubadilika; hawawezi kuwa walivyo siku zote, mambo yanaenda yakibadilika.
Zile amri za kiimla za wamarekani ambazo zilikuwa hazibishiwi enzi hizo, sasa zinajibiwa kwa namna mbalimbali; hata kwa kuviziwa kama walivyoviziwa na Osama na kuumizwa...
Mkuu naona jazba imekutawala; mpaka unamwita mwenzako NONSENSE, si jambo jema hata kidogo.
Amesema Russia anapambana na Intelligence Agents zote za NATO + Other Western Allies; hiyo ni kweli wala siyo propaganda.
Kwa wingi wao huo na nguvu ya vyombo vya habari wanayomiliki, kwa nini...
Umesahau kwamba brands zote hizo ulizozitaja na ambazo hujazitaja lakini ziko kwenye masoko ya Tanzania na unaendelea kuzifurahia, zinalindwa na bunduki ya AK 47 (au SMG 56) kwenye majeshi yetu yote; na Makombora ya BM 40 na Mizinga ya 122MM ya JWTZ, vyote vya kutoka Urusi na zana nyingine...
Kuuzingira Kyiv ilikuwa ni mbinu tu ya medani ili majeshi ya Ukraine yaelekeze nguvu kwenye kuuhami mji mkuu; ili kupunguza nguvu huku Mashariki ambako ndiko kulikuwa kumelengwa haswa.
Mpaka majeshi ya Ukraine yarudishe nguvu upande wa Mashariki, Russia walikuwa wameshasonga mbele sana na kuteka...
Kwako OCD NYAMAGANA,
C.C. RPC MWANZA;
Bila kupoteza muda napenda nieleze juu ya uovu unaofanyika hapa eneo la SAHARA, mkabala na Posta Pamba Road.
Katika eneo hili kuna pilika nyingi za kibiashara, ambapo watu wengi kutoka sehemu mbalimbali hufika hapa ili kujipatia mahitaji yao mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.