jamn mmeongea meng lakin mm nataka kuc c tiza kwamba tigo ni mpango mzma maana mm nilijiunga juz kwa 450 mbaka leo na2mia kwenye modem tena inakuwa unlimited !!! pia yule anaye experince tatizo la edge o 2g hii ni kw sabab line yake ya cmu aija konectiwa na 3g xo anitajika kuifikisha pale tigo...
batumia modem ya airtel ambayo imeunganishwa na 3g xo kuna issue nilikuwa nataka ku download lakin naona ina uwezo mkubwa ambayo ile bundle ya 2500 ainitosh kabisa !!! tafadhal naomba msaada wako mkubwa ntashukuru xana !!! ili niweze kujiunga na unlimited ya mwez
msaada tafadhali natanguliza shukrani
nina tv yangu aina ya
Ferguson F2620LVD 26in LCD TV
lakin kila niki play video kwenye ile screen naoan picture motion ina chelewa ku respond yaani sauti ina sikika fresh xema motion ya picture inakua iko slow sana !!!! naomba msaada wenu...
nina tv yangu aina ya
Ferguson F2620LVD 26in LCD TV
lakin kila niki play video kwenye ile screen naoan picture motion ina chelewa ku respond yaani sauti ina sikika fresh xema motion ya picture inakua iko slow sana !!!! naomba msaada wenu jaman......
also ina2mia adapter yenye volt 12 ampia...
jaman nilikuwa naomba msaaada wa software ya ku unlock memory card !! maana nina nokia yangu e71 ambayo nime i update xema kumbe memory yake ilikuwa na key xo now inashindwa kusoma !! msaada tafadhali
Nina kichocho dalili nimeanza kuziona leo. Je, dawa gani ya kutibu ugonjwa huu?
----- Maoni kutoka kwa wadau-----
MziziMkavu anasema,
Ndugu pole sana kwa kutokwa na damu wakati unakojoa ni Dalili ya Ugonjwa wa kichocho nenda Hospitali kamuone Daktari haraka iwezekanavyo upate kutibiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.