Habari wakuu!
Tafadhali naomba Msaada kutoka Kwa yeyote ili nipate application yoyote ambayo nita install kwenye simu ili niweze kuwa Na stream live games za soccer nikiwa mbali Na tv. Hii ni nje ya Azam max, hiyo ninayo tayari.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Hellow doctor!
Ndg yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni kwa muda mrefu, ametumia anibiotics mbalimbali na dawa nyingine nyingi zikiwemo za kuinset ukeni lkn hajapata nafuu kwa maana ugonjwa huwa unaondoka na baada ya muda unarejea. Na hili limewahi hata kusababisha ujauzito kutoka.
Naomba...
Hellow wadau!
Ndg yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni kwa muda mrefu, ametumia anibiotics mbalimbali na dawa nyingine nyingi zikiwemo za kuinset ukeni lakini hajapata nafuu kwa maana ugonjwa huwa unaondoka na baada ya muda unarejea. Na hili limewahi hata kusababisha ujauzito kutoka.
Naomba...
Hellow mtaalamu.
Ndg yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni kwa muda mrefu, ametumia anibiotics mbalimbali zikiwemo za kuinset ukeni lkn hajapata nafuu kwa maana ugonjwa huwa unaondoka na baada ya muda unarejea. Na hili limewahi hata kusababisha ujauzito kutoka.
Naomba msaada ni wapi tunaweza pata...
Katika miaka ya 2003- 2006 ksma sikosei Kuna character alikuwa anatumia jina LA LETHI MATHABANE alifariki kwa HIV lakini mwingine alikuwa akiemda kwa jina LA Nandipha alikuwa akicheza kama muathirika NA,mupnekano wake NA namna alivyokuwa akiigiza unaweza amini lkn kumbe haikuwa hivyo bali...
Mkuu post yangu umeisoma kwa mhemko hukuielewa au hujailewa hii kanuni ya goli LA ugenini kama wasivyoifahamu wengine.
Nilichomjibu jamaa ni kuwa aliuliza iwapo Sudan watochomoa NA game iishe kwa 2-2 nani anatoka? Nikamjibu stars tutatoka coz aggregate itakuwa 3-2 in favour of Sudan kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.