hapana mme wangu wala kunitamkia tigo hajawahi na hata shemeji yangu tigo hajawahi,ndio mke mwenzangu anajua kuwa mie ni mke mwenzie,kuhusu hospitali prof kaisi alitupeleka ujerumani lakini hakuna mafanikio,hii ilinifanya nilale na shemeji yangu
sawa mnayeniita mimi shetani ok lakini nasema kuwa huo ndio ukweli kwani mme wangu alikuwa hanizalishi na tokea nimezaa hajanikasirikia sasa sijui kama anajua au la na sasa na mimba na inaonekana wazi tu na huyu shemeji yangu kwa sasa anafundisha huko marekani na aliwahi kunialika nikaenda huko...
Jamani nimesoma koments zenu nawashukuru kwa wale walioninanga na wale walionionea huruma mimi na mme wangu.Nataka kufafanua mambo yafuatayo kwanza mimi ni mke wake wa ndoa wa 2 mkewe wa kwanza anaishi uarabuni.Prof Kaisi alituambia kuwa mme wangu mbegu zake zimeharibika maana alimfanyia sperm...
Jamani hii ni habari ya kweli na inanisumbua moyo sana,nimeolewa na bwana mmoja wa kiarabu miaka 20 iliyopita,huyo bwana ana mke wake wa kiarabu aliyezaa naye watoto 6 ila mimi hanizalisha.Tumetibiwa kila hospitali nchini na nje ya nchi lakini hakuna mtoto.Dk Kaisi alifanya kila njia lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.