ila kiroho kinauma...
kampani ya wanawake wenzio ni tofauti na kampani ya mpenzi/mwenza/mumeo....
attention ya wanawake wenzio ni tofauti na ile anayokupa mwenza wako.........
hizo empire angalau watoto watafaidi ila kuna raha yake mwenza wako akiappriciate
kiufupi mahaba yana raha yake...
inasikitisha,
siku hizi hakuna misini ya ndoa kabisa
wengine wanafunga ndoa kwa presha na mikumbo ya jamnii
mwisho wa siku unakuta mweza wake ana mwenza mwingine!!!!
Kwa wanawake wote ambao mmeolewa.....
Mko kwenye ndoa zenu.......
Na mashati yenu ya vitenge sare sare na waume zenu.............
Salamu kwenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nyie mlio kwenye ndoa zenu....lakini bado mpo ingle....
Yaani single but married (wenye viinglish vyenu pia mnywe maji mengi tu...
halafu unajua mnatutia majaribuni sana
imagine miaka yote ya ndoa sijawahi kutoka nje
mpaka nikawaza hivi hawa wanaonipigia misele si nichague tu mmoja nipumzishe moyo...
sema tu nilimshinda shetani.....ila kawazo kanakuja kanaondoa...mbele kugumu jamani oooh
pole.
mie baada ya kujionea mapichapicha mengi niliamua kufunga tu kizazi, as njia nyingine kwangu sio rafiki na kuwekeza nguvu zangu kwa hawa nilionao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.