acha kujidai unajua vitu ambovyo hujui lakairo na wenje ni wakuria tangu lini, mimi nipohapa lakairo investment ni muhasibu, usidanganyewatu kwa kujidai unaujua sana mkoa wa mara,mimi mwenyewe ni mjaluo.
Wakuu serekali yetu sasaivi imeshazoea migomo ili ipige watu ikiona hakuna mgomo haijisikii raha sasa hapa wameona madaktari wametulia, wakachokoza walimu wameona kimya sasa wamegusa wote kwa ujumla, mi naona wanatupima nguvu au wanataka vyombo vya usalama vifanye mazoezi mana wamechoka na amani...
Kaka mi ndio mana sipigi kura us.....nge mtupu, wote wapo kwa maslahi yao ukiona wanapiga kelele ujie kina kitu kinawabana na wao lakini vinavyotugusa sisi direct ambavyo havi influence maisha yao wanapiga kimya, jiulishe mbunge gani asiejua hili linatuumiza?
Acha kuleta mambo yako ya kujiona cdm ni chama cha wakristo tu umeanza kunitoa hata mimi kwenye cdm mana naona unaongea kama vile cdm ni chama cha kanisa waislam hawatakiwi, rekebisha lugha yako inaonekana we ni ccm umetumwa kututenga! kicha chako hakiko sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.