Ufisadi wa anayejiita mtoto wa mkulima - Mizengwe Pinda umeonekana wazi kwa wananchi baada ya katibu mkuu wa miundo mbinu kutoa vitisho kwa wakazi wa Gerezani Kariakoo na kusema wazi kuwa ametumwana waziri mkuu!!!
Wakazi hao wamekua wakipokea vitisho na kulazimishwa waondoke kwenye eneo hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.