Home kulikua na gari ya manual tangu 1999 badae ikanunuliwa nyingine AT 2005 hadi sasa AT imekufa gearbox karibu mara 6 bt manual bado ipo na matengenezo ya manual ni rahic sn ukilinganisha na AT. Performance ya Manual ni kubwa sana kuliko ya AT. Wazungu wanasema AT ni kwa wavivu kama africans...
Huwezi kupata admission kwa MD course kama haujasoma physics o level na a level. Na kwa ujumla course zote za udaktari kwa degree level lazima ue umesoma PCB hapa nchini. Waweza soma kozi zingn kama environmental health sciences. Karibu sana muhas.
Hii ni moja ya komenti ya wamalawi hao juu ya sakata hili
There go the Tanzanian morons again! Now I am convinced you have no evidence
backing your claim. I repeat you cant win the battles of today by making reference to
that insignificant battle with the lunatic Amin. You Tanzanians you...
Kweli nimeamini kuna vibaraka hapa tz, ila ninachoamini Kubenea hamumuwezi nyie shenzi type, kipindi kile mlimwagia tindikali na kuchukua kompyuta zt ofisini kwake mkijua mmeiba data zote sasa kawaanika kwny uovu wenu wa sakata la Dr Ulimboka eti mnakimbilia kumfungia kwanini msikanushe kwanza...
Dah siamini kama tanzania imegeuka toka ukweli na uwazi hadi uongo na usiri wa kipumbavu hv. Kiukweli kama kweli serikali au kova angetaka kulivalia njuga suala la Dr Ulimboka yule askari wa kwanza aliepigwa pale muhimbili siku ya kwanza angekamatwa lakini pia yule alietambuliwa na Dr Ulimboka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.