wananchi wa wilaya ya biharamulo maarufu kama bia na mulo, iliyoko kagera jimbo la mh Mbasa, tunapenda sana kuwaona majembe wa m4c kutoka chama makini sana CDM wakifika kufanya mkutano na wanachama wake ili kuimarisha chama, Tumechoka na utawala dharimu wa chama cha magamba. plz warm welcom
waungwana naomba kwa mwenye habari ya kuaminika anisaidie kunijulisha juu ya ajira kwa walimu wa sekondary ni lini? Pia naomba mwenye kuweza nisaidia kupata shule ya kufundisha hapa mjini anisaidie contact ili ni apply kwani nimemaliza shahada ya ualimu mwezi july mpaka sasa sijapata kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.