Hivi ni kwa nini watu wengi kiasi hiki,wenye elimu za kutosha,wenye hekima na busara,kuchezewa mchezo mchafu ulio andaliwa(planed) kiufundi na watu wachache,wasio ipendea mema nchi hii,WAMETUINGIZA KWENYE KILENGEO.Tanzania Tanzania..........!seaching.............
maendeleo yote dunian huletwa na wale wenye fikra tofauti,sio lazima kila kitu uangalizie kwa wenzio,swali lako limenikere sana,every thing u put politics.
Nimesoma iringa ,dabaga kata ya idete huko kilolo kijiji cha itonya ,mpaka darasa la tano,nikahamia ifunda kijiji cha itengulinyi, mpaka darasa la saba ,nikajiunga na donbosco mafinga,nikafukuzwa cos ya ulanzi.nikaenda mafinga seco school miaka mnne,ulanzi na mkalifya sanaaaaa.......
kwa wazarendo,wanao penda mabadiliko ya kisiasa,kisera ,kiuchumi na kimtazamo hatumshabikii mtu kwa sababu binafsi,wanambeya tunasema Chadema mtiwekee mtu mwingine,Suga anatuaibisha,hebu mlinganishe na wengine toka mbeya
Busara haifundishwi,hairisishwi,haiigwi wala hainunuliwi.kwa tukio zima jana ilionyesha wapiga kura tulivyo wepesi kutekwa na hali ya kimazingira(situation),kama ni viongozi wa bunge tulio wachagua hawakutumia busara(yaani ndugai),ili paswa Mbowe,sugu na wenzake waonyeshe busara zao.lakin kila...
the first class citizen ni wanajesh,by the way wanajesh hajelalamika,wanajeshi ndio watumish wanao anza kulipwa posho,ninamaanisha hakuna nchi inaweza kumlipa mwanajeshi mshahara.for more.infor c
ASILI!!what does it mean? Chakula,mavazi,imani ,uongozi na mwenendo mzima wa kimaisha ya kila siku is the only solution to our problem.ASILI IS THE ONLY AND TRUE GOD FOR US.GROLY BE TO OUR JESUS CHRIST.very sory for those from other side
We shabiki wa siasa usie na madhara,hakuna unacho kijua hata unacho kihitaji hukijui,wewe endelea kua bendera tu.waache wanao ijua kazi wafanye kazi na subiri joyce amshawishi slaa muandamane barabarani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.