tatizo lenu mnajichechetua mno.....kura mtashindwa kwa uhalali kabisaaaa....na mnalijua kabisa,ila kujifanya kichwa maji tu kwamba ati mtashinda....
oka
tunalolisubiria hivi sasa toka kwenu ni milalamo kwamba mmeibiwa kura
ninadhani kwamba ni ccm ndio wameiua chadema...kwa sababu katika vita,upande mmoja ukizidiwa na mashambulizi basi unaweza ukajikuta unafanya mambo ambayo yanaweza kumshangaza kila mtu kwa jinsi jambo lilivyo la maamuzi yasiyo mazuri....ni sawa na chadema...kwamba mashambulizi ya ccm yamewafanya...
tatizo ni kwamba huu muungano ulianzia na masuala yasiyo hitaji "kujitoa"...mambo yanayohitaji kupiga mdomo sana kuhusu kuilaani na kuilalamikia ccm.
Sasa hivi,ndio test kweli ya ukawa,kwani wanachotakiwa wakiongee na waelewane ni kuhusu kupata na kupoteza.....mambo ya kizalendo,mambo ya...
kumbe mnaelewa kwamba sababu kubwa inayowafanywa mshindwe kuiondoa ccm ni kule kutokuungana kwenu,lakini huwa mnatuaminisha sababu ni kuibiwa kura.
mwaka huu sijui mtatoka na sababu gani
ukitaka kujua ni watu gani waliompigia kura mchungaji ile 2010,angalia kura za urais iringa mjini nani alishinda.....hivi unadhani kuna mwanachadema aliyeweza kujitolea kumpigia kikwete urais badala ya slaa mwaka ule?
Si kweli...wewe ni muongo
sema hupendezwi na staili yake ya kutafuta kura
na nikwambie...staili yake hii ni nzuri...
kwani ni staili ya kupandisha emotions...ni staili ya kupandisha munkari...
hebu fikiria siku aamue kutoka na wimbo wa alinselema alija kuanzia ubungo mpaka tiptop mpaka magomeni...
Kwa wale wanaotaka mabadiliko ya kweli CDM na washiriki wake wanatakiwa kujionesha wanaelewa kadi walizonazo mkononi na ni zamu yao kucheza kwani za CCM tumeziona zilivyochezwa na wamebaki na magarasa tu. Ni wakati wa CDM kuita "Last Card".
MMM
MwanaKijiji...
sisi wengine tunao elewa vema...
1.Hivi lengo la BVR ni nini?
2.Je,zoezi la kupiga kura litakuwaje-hasa njia itakayotumika katika kuthibitisha kwa vekline mwankenja hapigi kura mara 2?
3.kama fingerprint ndio itakuwa entrance point ya utambulisho,unadhani mwankenja atakuwa na fingeprints za aina 2?
4.Hii ni alert kwamba...
ndugu yangu.....
unamkumbuka Samuel Sita spika mwenye ubora wa viwango aliondolewa na ccm ipi//?
unamkumbuka yule mzee mhuni mhuni aliyekuwa katibu mkuu wa ccm akatolewa na akawekwa
huyu kinana.....ni ccm ya lini ile ilikuwa?
kwa mifano hiyo miwili,nadhani unaelewa vema ninachotaka kusisitiza...
kwa mfano,hata ukichukulia kwamba ziletwe machine 3000 kwa wakati huo,na kila siku machine moja iandikishe watu 100,utaona kwamba unahitaji siku 12 hizo kuandikisha'''''.........sasa assume zikawa 4000(achilia mbali hizo 4000 zingine)
itakuwa hivi
4000 x 100=400,000 kwa siku
ninadhani siku hizo...
[QUOT
Kifungu tata cha sheria hii ni kile kinachomuweka mpokeaji wa ujumbe na mtazamaji tu kama mtuhumiwa. Hivyo mathalan Anna Makinda alipopokea matusi kwa njia ya sms kama atafanya hivyo kwa sasa atakuwa mtuhumiwa!
!
SIO KWELI
WATU MMEAMUA KUJITOA UFAHAMU ATI HATA KUPOKEA UJUMBE UNAKUWA...
Unajua kuna tatizo moja-
Watu wanapenda haki bila kuwajibika.
sasa huyo anasema rais wake mpumbavu,ati ni uhuru wake wa kutoa habari.
okey fine----ni uhuru wake
lakini,ni lazima awe tayari kuwajibika kwa uhuru wake huo
NA HAPO NDIO INAKUJA SHIDA.....WENGI WANAOPINGA MSWADA WA SHERIA YA HABARI...
leo asubuhi nimesikia iko kwenye 1800 mbona?
ikabidi niende bot website pia,nikaona hivi
FX rates for 30/Apr/2015
Unit
Buying
Selling
USD:
181,990.10
183,810.00
Euro:
200,534.89
202,577.00
GBP:
279,700.58
282,589.49
KES:
1,926.84
1,944.05...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.