Ukifanya hivyo lazima madhara yatakuja maana hilo sio jambo la kawaida kabisa na wataalamu wamethibitisha kuwa yako madhara na kwa hivyo usijaribu kufanya hivyo kabisa ukiwa na busara
Ndugu unatakiwa ugeuze baadhi ya vyakula na vinywaji au uongozee baadhi yake ili upate wateja zaidi na pia ni uzuri kutizama migahawa ilioko kabli yako wanatumia mbinu gani ili kupasi kuchukuwa ujuzi wao ila pia pengine sehemu wenyewe inawezekana kuwa si ya kuvutia kabisa kwa hivyo ndugu...
Kaka umepata huyo mchumba unaemtafuta au bado uko katika kutafuta kwa nini huingii katika yahoo na Gogle ukafanya search pengine unweza kupata mara moja
tafuta anaeweza kukufaa na kukufahamu na kufahamumazingira yako hapo kama unataka kumuowa awe aiana yeyote mwarabu mhindi mswahili na wengineo desnt matter kama unataka kuowa au sivyo ombi lako halina maana wala mpango
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.