Ndugu wanabodi,
Kwa tetesi zilizopo ni kuwa baadhi ya wafanyakazi wa Tanesco wanalaumiwa kwa kupokea na kuhamisha muelekeo wa mradi wa REA katika mtaa wa Pumuani katika Kata ya Kirua Vunjo Kusini halmashauri ya Moshi kwa kile kinachodaiwa ni kuupelekea kwa mtaa wa matajiri na hisani kwa mmoja...
Mradi ni mzuri ila kwa hali ya kitropic tuliyonayo ni ya tofauti sana na nchi za Uchina, marekeani na nyingine nyingi ambazo tunazitolea mifano, nadhani kuna haja ya kutambua mbadala ya mradi yenye athari kubwa za kimazingira ndhidi ya miradi mingine ambayo ni rafiki wa mazingira. tukiangalia...
I propose, we cant infer one element out of ten variables, and say it is a significant analysis, however we have the right to praise any of positive efforts being realized.
mie sijazipinga, ukisoma
uzi wangu utanielewa. Kwa maisha ya wakati ule na sasa kuna maendeleo na mbadala mingi. Hii ni kutokana na teknolojia na ushindani wa soko kwa sasa. nakukubali. rai yangu ni kuwe na movies/ filamu mbalimbali na zenye kuutangaza utamaduni wetu kwa upana wake... Upo...
Salam wanabodi,
Naipongeza Serikali kwa huduma kwetu wananchi. Kero kwa leo ni kuwa baada ya kupigwa marufuku kwa jimbo za dini ndani ya mabasi makubwa kwa sasa inaonekana filamu nyingi zinazoonyeshwa ni zile za kikorea zenye ubabe na zisizo na maudhui yanayoeleweka. Hii sio nzuri sana...
Kwa mujibu wa vyombo vya habari ni kuwa ni marufuku vyama vya siasa kufanya mikutano ya siasa kwenye kampeni ya kuwanadi wagombea wa Udiwani nchini kote. Sasa, hapa nachanganyikiwa, utafanyaje kampeni bila siasa? AU SIASA ni sayansi nyingine na kampeni ni sanaa nyingine? Mnatuchanganya... We...
Mapenzi ya jinsia moja sio tatizo, na tusichanganye mambo. Tukubali kuwa huwa tunazungumza na kuongea katika kupotosha mantiki. Ukweli ni kwamba jinsia ni mahusiano yaliyopo kati ya mwanamke na mwaume, au mwanaume kwa mwanaume au nk bila ya kugusa jukumu la kijinsi. Hivyo hatuna mapenzi ya...
Unajua shida pia ni wengi wa wanaume huwa wanapenda kuoa mke mzuri, akipita apongezwe kwa kuwa na kifaa kizuri, kumbe ndani ya brain ni matatizo ukuki... Wanaume ni muhimu kukaza buti katika kutafuta maisha na sio sura za jinsi ya ke...
inaaminika kuwa moja yenu lazima atakuwa ametumia muda kuziendeleza, ila pia kuna mali za ndoa na mali kabla ya ndoa... kama mlizirasimisha na kwa zenu kwa pamoja basi hizo ni mali za ndoa .... mgawanyo utawahusu hata kama alikuwa anadeki tuu..
hapo hakuna kigezo cha kuvunja ndoa, ndugu hawezi kuwa kigezo, pia kuna kufichaficha mabo hapo.... Kama vipi aende mahakamani, tathimini itafanyika na mali itagwanywa .... gharama za harusi na mabo kama yaho sio ndoa... hiyo ni sherehe na mahakama haiwezi pokea hoja huzi...
Tutambue pia kuwa kwa mfano umesomea ualimu, sio masomo yote yatahusu ualimu, kama umesomea sociology, sio masomo yote yatakuwa ni sociology, kama umesomea law, sio masomo yote yatakuwa ni law, kama umesomea business sio masomo yote yatakuwa ni business nk. Huwa kuna masomo sindikizi ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.