mgodi ni wa kampuni ya tancan mali ya sinclair, jk ni shareholder katika mgodi huo. kiongozi wa kampuni hiyo kwa hapa tanzania ni mtoto wa mzee kahama anaitwa joseph. ubalozi joseph atakaopewa hivi karibuni ni fadhila za huo mgodi
1, DC wa zamani wa lindi
2, ****** na membe walimpa ukatibu uvccm kwa kazi maalum
3, kazi yake kubwa kushawishi uvccm kumkubali membe 2015
4, membe anampa kiburi cha kuongea ovyo
mkuu usalama kuna waka moto.... mtu aliyenipa hizi data ni wa uhakika. masha mabinti wa kizungu watamkoma.. joseph nasikia kazaa na ps wa membe. mkwere analipa fadhila kwa washikaji zake si unajua hakuna cha bure
kishindo ni kuwa:
-othman rashid amestaafishwa kwa manufaa ya umma
-lawrance masha ateuliwa kuwa balozi nchini Switzerland (JK analipa fadhila za IMMA kumwajiri riz1) - balozi wa sasa ana staafu
-richard kasesera awa balozi nchini msumbiji (JK analipa fadhila za richard kuwa mpiga debe hodari)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.