Rafiki wakubwa wa Gadafi wa kiafrika walikuwa Maraisi WAKRISTO, na nchi alizozisaidia nyingi zina idadi kubwa ya wakristo, k.m. Mugabe & Zimbabwe, Museveni & Uganda, Kibaki/Uhuru & Kenya, na hatujaona akiwashawishi kuingia uislamu. Hizo zilikuwa fitina za Nchi za Magharibi. Tuatacha lini uzembe...
Swali jee utafiti umefanywa kuhakikisha hivyo virutubisho ni vizuri kwa watoto wetu, visine kuwa na Virutubisho vya kujenga marekebisho ya JINSIA ya Vijana kuwa vinginevyo. Maana siku hizi kuna hila za kupunguza idadi ya watu, haswa barani Africa
Sio unafiki, kila mtu ana mazuri na mabaya take, ukiwa Hai unapewa za usoni kuhusu ubaya wako WOTE, siku ukifa uzuri uliozikwa miaka Kenda unafukuliwa. MZANZIBARI NAWE WACHA UNAFIKI JITINGE KWENYE UKWELI
Wacheni ujinga na unafiki, Leo Lowassa katangulia WOTE tunampaka maradhi na kumfukiza Udi. Tuache unafiki. Lowassa alikuwa KIONGOZI mzuri lakini alikuwa na makandondo yake.
1. Lowassa Akipokuwa PM, alikuwa mla Rushwa Mkubwa Sana hata akapewa jina la MR 10%.
2. Aliua watu KISIASA haswa wake...
Wacheni ujinga na unafiki, Leo Lowasa katangulia WOTE tunampaka maradhi na kumfukiza Udi. Tuache unafiki. Lowasa alikuwa KIONGOZI mzuri lakini alikuwa na makandondo yake.
1. Lowasa Akipokuwa PM, alikuwa mla Rushwa Mkubwa Sana hata akapewa jina la MR 10%.
2. Aliuwa watu KISIASA haswa wake...
Ndugu kama unataka kufananisha udhalimu WA viongozi WA kidini, basi ukae ukijua HAKUNA VIONGOZI WA KIDINI MATAPELI , WASHARATI, MALAYA, WAONGO, WANAFIKI NA WAUWAJI KAMA VIONGOZI WA KANISA KATOLIKI NA VIONGOZI WA BAKWATA, hao wanabeba kombe kila mwaka. NINA ZUNGUMZIA VIONGOZI NA SIO WAUMINI
Wewe NI Kunguni Uliyeiva na karibu utapasuka kwa uvinbe WA ujinga na uzembe. Naitambua michango kwa muda mrefu na mingi NI ya ovyo ovyo . Mbowe haogopewi Bali anastahili heshima kwa sababu naye anaheshimu watu na anajiheshimu period.
Tundu Lissu akifanikiwa URaisi, ataiingiza Tanzania kwenye Historia ya Dunia na Gueness Books of Record, kuwa Nchi ya Kwanza Africa kuteuwa Mawaziri MASHOGA, na ata Bariki na kuifanya Sheria ya NDOA ZA NJISIA MOJA kutumika TZ. Pia ataueneza ukabila, kwani hatateu Waziri au KIONGOZI yoyote mwenye...
Ukisikia ujinga WA kukaririshwa, basi ndio huu. Tatizo la Chadema na viongozi wake Mashuhuri na shupavu, halikuanza na Akina Zitto, hebu fuatilia tokea chama kuanzishwa, kila akitokea mpambanaji mzuri na akapata umaarufu mkubwa na kupenda, na kama hatokei maeneo ya mlima K, basi lazima wafanyiwe...
Ndugu Mbona kila siku tunakaa vikao vya kila aina, na hatubalishi lolote, tunachobadilisha NI mbinu za kelele majukwani, na wapaaza kelele zetu na kebehi NI wale wale tuu.
Hebu ona wakati Lissu na Lema waendapo kwa watoto wao Canada na Belgium, kelele na kebehi zinapungua, kwani HECHE anabaki...
Mbowe ni Mfalme hawa WA CCM NI Watawala, Matalan anachaguliwa na ana kikomo cha kutawala, lakini Mfalme NI mwenye nchi na watu wake, wote NI Mali zake na hawekewi Sheria na watumwa wake.
Hiyo ndiyo tofauti kati ya MFALME na MTAWALA.
Miaka kama 10 iliyopita nikiandika humu jukwani kuwa LEMA atashindwa uchaguzi na ategeuza kibali na atajenga Kanisa lake na atajibatiza kuwa NABII. Naona SASA Hugo utabiri wangu unakaribia kukamilika.
Naona tumeshaanza kuwaona wapambaji wake wakija na kila Aina za sifa za kutengenezwa...
HIZI NI ZA SASA:: Singapore, UAE, Qatar, Saudi Arabia, China, Taiwan, Vietnam, India, Cambodia, Indonesia,
HIZI NI ZILIZOTANGULIA: Great Britain, France, Italy, Spain, Portugal, Germany, Russia etc Tawala zote za ulaya maendeleo yalianzishwa na tawala za KIFALME .
Hakina chuki kwa alichokiandika ni actual facts, ametumia UTUMWA kwani katika nchi alizozitaja UTUMWA ulitumika Sana USA, Canada kwa wastani, India ni Ukoloni walitawaliwa na Uingereza. Na title ya post yake amezungumzia UDIKTETA NA UTUMWA, hizo nchi za SCANDINAVIA na JIRANI ZAO, Hugo kulikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.