Search results

  1. T

    Vifaa vya magari vinapatikana mtandao gani hapa nchini?

    Bumper la mbele la toyota spacio new model bei gani?
  2. T

    Sony Z3

    Weka picha mkuu. Je ni double au single line?
  3. T

    Inahitajika gari kati ya Spacio au Raum

    Ipo spacio ya 2003 new model CAW ni pm km ukilike.
  4. T

    Naitaji gari bajeti mil 5

    Weka namba yako mkuu nikucheki!
  5. T

    Wadau wa iphone smartphones mpoooo!

    Mkuu samsung galaxy s5 siyo clone inakwenda kwa bei gan?
  6. T

    Jamani nimecheka kidogo nizirai.

    Meno kama jembe jipya!
  7. T

    Jamani nimecheka kidogo nizirai.

    Pua kama tango!
  8. T

    Jamani nimecheka kidogo nizirai.

    Umekomaa hadi ngozi inakubana!
  9. T

    Kiwanja kinauzwa mivumoni,kinondoni dar es salaam

    Ile operation haikuwa pande hizo chief.
  10. T

    Kiwanja kinauzwa mivumoni,kinondoni dar es salaam

    Hakina hati mkuu.
  11. T

    Kiwanja kinauzwa mivumoni,kinondoni dar es salaam

    Kipo center kabisa mita 50 kutoka barabara kuu, kinafaa kwa biashara na makazi, ukubwa mita 25 kwa 40,umeme upo huitaji hata kuweka nguzo, bei milioni 25 mazungumzo yapo. 0713078036, 0712485586
  12. T

    Natafuta archtecture

    Mcheki huyu bwana ni mchoraji mzuri sana 0713786803
  13. T

    Nyumba inapangishwa Mbezi Juu

    Mkuu hebu elekeza vizuri ni mbezi maeneo gani? then lete contact tukutafute
  14. T

    Shamba linahitajika

    Ipo ekari 3 vikawe bagamoyo, bei milioni 12 kwa ekari zote. Bei inapungua kidogo. Kama unaridhika na uko interested ni PM.
  15. T

    Nyumba ya kupanga inahitajika

    Ipo mbezi makonde vyumba 2 vya kulala, choo ndani kwa ndani,jiko, sitting room, fenced na parking kubwa. bei 200,000 kwa mwezi.
  16. T

    Nyumba ya inapangishwa mbezi makonde.

    Mkuu nimekusoma ila elewa hii n mali ya wa2 mi nafanya kusaidia 2. Haipungui hata senti tano.
  17. T

    Nyumba ya inapangishwa mbezi makonde.

    Nyumba inapatkana mbezi makonde, ina vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko na choo cha ndan(public toilet), iko kwenye shared compound, car parking kubwa. Kodi kwa mwezi ni Tsh 200,000 kwa miez 12. Anaehitaj ani pm kwa mwongozo zaidi.
  18. T

    Subaru forester inauzwa

    Bandugu nauza mkoko wangu Subaru Forester ya mwaka 2001, colour silver, cc 2000, ina turbo, mileage 126000. Bei ya kuuzia 10m pungufu huongei. Picha nimeshindwa kuziweka. Anayehitaji aniPM tuarrange deal.
  19. T

    Wanahitajika wabia wa kuchimba madini Geita

    Wadau kuna eneo linalomilikiwa na mtu binafsi liko Ngamatatate Geita Mkoani Mwanza ambalo limegundulika kuwa na madini ya dhahabu na hii ni kutokana na utafiti uliofanyika katika kipindi cha nyuma katika eneo hilo. Eneo hili linapakana kwa karibu kabisa na mgodi wa GGM( Geita Gold Mine). Mmiliki...
  20. T

    Nauza

    lete bei fb tukukuruke na mjengo huo. km vp ni pm tunegotiate bei.
Back
Top Bottom