Wakuu habari ya majukumu, Nina changamoto kwa kuku wangu (kienyeji) naombeni msaada na uzoefu wenu kwenye hili. Nimeanza huu mradi mwezi mmoja sasa.
Kama siku 10 zilizopita nimempoteza kuku mmoja baada ya kuugua ndani ya masaa 24. Alianza kuwa mnyonge, hatoki bandani Wala kula. Akaanza...
Kuna Mzee mmoja, mtu wa makamo kidogo, nadhani anakaribia kustaafu pale nje mapokezi kwenye mabenchi ana majibu ya hovyo, very irritable, kama sio mvumilivu unaweza muanzishia ugomvi pale, mwambieni ajirekebishe.
Uanze tu kuulizia job contract wakati hata hiyo kazi yenyewe haijulikani, kwani kuna tatizo gani tangazo likiwa very clear na kuondoa mkanganyiko huu usiokuwa na lazima
Habari ya majukumu members;
Tafadhalini saana, naomba ushauri wenu ili niweze kumsaidia mdogo wangu kufanya uamuzi wa busara.
Mdogo wangu jinsia KE amebahatika kupata admission ya kozi mbili;
1: Bachelor in Finance and Banking, hapa amepata mkopo wa bodi kwa 30% ya tuition fee + meals and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.