Mkuu Nguruvi3, Shukrani sana kwa uchambuzi makini kuhusu muungano, inachanganya sana kuwabebesha watanganyika mzito bila huruma. Usichoke kuendelea kutufungua akili sisi watanganyika.
Huyo mdada mkenya anaekuja kununua dagaa wa mchanga (wachafu)kwa ajili ya kutengeneza chakula cha kuku. Natafuta soko la kuuza dagaa wa mchanga (wachafu). Shukrani sana mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.